Mistake ya kwanza ilikua ni kutoka na Boss wako kwa matarajio ya Kuolewa.
Kwa Boss anayejitambua, Kuoa mfanyakazi ni kosa la Kubwa sana, Linachafua taswira yake mbele ya wafanyakazi wengine kwamba alikua analala na mfanyakazi wake kinyume na maadili. Hapo kachagua heshima yake,
Wewe ndio...
Kama unapiga, Shida yako nini? Unampa hela, anakupa korongo.... Ni Biashara. Mambo mengine hata sio ya Kuleta hapa. Hizo siku zingine anaishije sio business yako kujua. Ila inaonekana utakuwa ulimzoesha kumcheki mwisho wa mwezi naye akazoea hivo na ndio maana anakucheki kila mwisho wa mwezi...
Hujielewi. Uhusiano ni wa watu wawili lakini kwa Ufinyu wako wa Akili umeingiza sijui kaka zao na Mama yako humo ndani unategemea nini? Hivi kila linalotokea kwenye Uhusiano wenu Mumeo angekuwa anaongea na Dada zake na Mama yake Wakushauri kila siku, Hiyo ndoa ungeifurahia?
Ungefurahia mambo...
Huo ni Ufala. Miaka miwili hujapewa? Haha, wewe ni kaka yake sio mpenzi wake.
Na kama wadau kibao walivosema, Kuna jamaa anapewa yote kila dakika akiitaka.
Pole sana dogo. Ukikua utaacha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.