mjusilizard
JF-Expert Member
- Nov 7, 2019
- 923
- 1,586
Salaam wakuu,
Ninataka niezeke kwa mabati yanayofahamika kama reject, nimetembelea wanapouza nimeona ni mapya kabisa hayana tofauti kubwa na yale ya madukani ambayo siyo reject.
Kuna mtu ameshawahi kuyatumia haya mabati au anafahamu mtu aliyewahi kuyatumia na hali yake ikoje mpaka sasa kwenye paa na yakadumu kwa muda gani? Ama ninunue nipake rangi? Nimepiga hesabu nimeona nitaokoa 500 000 nzima nikiezekea hayo.
Ninafuatilia comments zenu.
Ninataka niezeke kwa mabati yanayofahamika kama reject, nimetembelea wanapouza nimeona ni mapya kabisa hayana tofauti kubwa na yale ya madukani ambayo siyo reject.
Kuna mtu ameshawahi kuyatumia haya mabati au anafahamu mtu aliyewahi kuyatumia na hali yake ikoje mpaka sasa kwenye paa na yakadumu kwa muda gani? Ama ninunue nipake rangi? Nimepiga hesabu nimeona nitaokoa 500 000 nzima nikiezekea hayo.
Ninafuatilia comments zenu.