theCriticalOne
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 206
- 285
Huo ni Ufala. Miaka miwili hujapewa? Haha, wewe ni kaka yake sio mpenzi wake.
Na kama wadau kibao walivosema, Kuna jamaa anapewa yote kila dakika akiitaka.
Pole sana dogo. Ukikua utaacha.
Na kama wadau kibao walivosema, Kuna jamaa anapewa yote kila dakika akiitaka.
Pole sana dogo. Ukikua utaacha.