Recent content by THEBLACKPEARL

  1. THEBLACKPEARL

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    BASI SIE WA MWISHO HUKU TUNAWEZA PATA CHACHE AU KUKOSA KABISA
  2. THEBLACKPEARL

    Kodi ya magari imesamehewa kwa wote au baadhi tuu?

    KUNA MDAU AMENIAMBIA KUWA KODI YA MAGARI AMBAYO IMESAMEHEWA NA TRA NI KODI YA MAGARI MAPYA NA SIO YA ZAMANI YAAN WENYE MADENI YAPO PALE PALE JE WANA JF NAOMBENI KUJUZWA KODI IPI HASWA AMBAYO IMESAMEHEWA AU KUFUTWA KABISA????? NAULIZA?????
  3. THEBLACKPEARL

    Hadithi

    mbona naona kama unataka kuiharibu hii hadithi ya iman,usiichokonoe zaidi ndugu yangu utaniumiza roho wewe husna
  4. THEBLACKPEARL

    Namshangaa Humphrey Polepole na 'comments' zake

    TWEETER. Humphrey Polepole ondoa hizo akili za kizee. ETI CCM MPYA. :"NINA HASIRA NA AKESHIA" Mvinyo ni mvinyo tu hata ukiuweka kwenye chupa mpya, chupa ni kibebeo tu haibadilishi ladha ya mvinyo. KAA CHINI UFIKIRI UWEZE KUJA NA HOJA INAYOLINGANA NA UJANA WAKO.
  5. THEBLACKPEARL

    Maxcom na mishahara ya wafanyakazi wake (Cashiers)

    KAMPUNI YA MAXCOM HAIJAWALIPA WAFANYAKAZI WAKE (CASHIERS) MISHAHARA YAO MWEZI WA PILI SASA NA WANAWAKATA MADENI ! SWALI KAMA HAUJAMLIPA MFANYAKAZI MSHAHARA WAKE MIEZI MIWILI UNATEGEMEA ATAFANYAJE KAZI NA ANAISHIJE HAWA WATU MBONA HAWANA HURUMA??????????? NDUGU WANAJAMII TUWASADIE HAWA WATU...
  6. THEBLACKPEARL

    RPC Arusha: Tunamshikilia mmiliki wa shule ya Lucky Vicent, atapelekwa mahakamani

    TATHIMINI YA AJALI ILIOUA WANAFUNZI WA LUCKY VINCENT ARUSHA. Basi tunaloliona kwenye picha ya ajali hubeba abiria 26 wanaotakiwa kukaa kwenye viti na kufunga mikanda. . Ukiongeza Makonda abiria hawatazidi 28. Huo ndio uwezo wa Coaster. Taarifa za trafik zinasema walizuia gari lisiendelee na...
  7. THEBLACKPEARL

    Mbona kama Diamond anatuchezea akili zetu

    kuna siku nilisema habari za roma ni kiki nadhani sikueleweka
  8. THEBLACKPEARL

    Mbona kama Diamond anatuchezea akili zetu

    kuna watu vichwa vyao sijui vina wadudu gani walah hawaelewi kabisa
  9. THEBLACKPEARL

    Mbona kama Diamond anatuchezea akili zetu

    Kwa siku nne zilizopita kumekuwa na taharuki baada ya ‘kutekwa’ kwa wasanii wa Bongo Fleva, Roma, Moni na wenzie lakini habari njema ni kuwa kwa sasa wamepatikana. Tukio hilo limezua mijadala mingi katika mitandao ya kijamii. Wakati mijadala ikiwa inaendea na watu kuhoji wapi alipo Roma na...
  10. THEBLACKPEARL

    Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

    LAKINI C MNAJUA BASHITE NDIO ANAWAPA WATU KIKI AU HAMJUI???????
  11. THEBLACKPEARL

    Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

    Hii ya mbona mimi naona kama imekaa kiki kiki hivi au wadau mnaonaje maana haieleweki ''''''Wasanii watatu ambao ni Roma, Monii Central Zone, Bin Laden pamoja na Imma ambaye ni mfanyakazi wa Mama mzazi wa mmiliki wa studio za Tongwe Records J Murder, mpaka muda huu hawajaweza kupatikana na...
  12. THEBLACKPEARL

    Idriss sultan vs Harmonize clapback

    mnauliza hela kapeleka wapi wakati munajua fika alikuwa anatembea (date) na WEMA SEPETU....
  13. THEBLACKPEARL

    Kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania, Bunge linaweza kumwondoa madarakani Rais

    kuongoza kumeshamshinda nchi inaenda kubaya IMF wameshasema tutakuwa kama zimbabwe au burundi ubishi tu,kupenda ubuyu ebwana jamaa anapenda umbea duh, sasa kwani hakuna namna ya kuweza kumuondoa kama ipo wanafanyaje mimi nadhani imefika mahali tuseme basi........
  14. THEBLACKPEARL

    Mention 1 thing you can't live without

    pumzi mixer roho
  15. THEBLACKPEARL

    SIDHANI KAMA MWAKYEMBE ATAKUWA KAMA NAPE

    Kwa mawazo yangu sidhani kama mwakyembe atakuwa kama Nape kwenye swala zima za michezo aiseee mungu tusaidie
Back
Top Bottom