Wadau the_legend nlipotea kidogo hewani for several months due to unavoidable circumstances. Ila nimerudi hewani safe and sound. Kwa wale wadau wa connections tunaendelea tulipoishia, upendo unaendelea kusambazwa as usual.
Safi mkuu. Mi chama langu ni Milan tangu nipate ufahamu wa mpira nikiwa mdogo, na kamwe sitawahi kushabikia timu Epl. Binafsi Epl naifuatilia sababu ya ligi za hela za Fantasy Premier league, ambazo huwa najiunga kila msimu
Hawawezi kuelewa mkuu. Hiyo tuzo nakumbuka ilitolewa Rome siku kadhaa kabla ya kumaliza karne ya 20, December 2000. Madrid ikashinda kwa zaidi ya asilimia 43, Man U akawa wa pili kwa asilimia kama 9 hivi na Bayern wa tatu. Milan tulikua wa 9. Fifa wameitambua Madrid kama klabu bora kwa miaka 100...
Tatizo mmekariri kwamba kila anaependa mpira lazima awe na timu England. Binafsi ni die hard fan wa Ac Milan, nafuatilia Serie A kama mnavyofuatilia Epl. Sina timu nnayoshabikia England zaidi ya kuwaheshimu tu Liverpool ambao Milan tuna historia nao. Ila sababu napenda mpira naangalia sana na...
Kwa waliozaliwa 2000's ni sahihi unachosema. Sababu ule msimu wa 2010-2011 ambao City alichukua Epl dakika ya mwisho kwa goli la kihistoria la Aguero vs QPR ni mwaka ambao waliozaliwa 2000's ni kama ndo walianza kua na ufahamu wa mpira
Umemaliza kila kitu mkuu. Binafsi ni mshabiki wa Ac Milan, nlianza kuipenda tangu nikiwa mdogo miaka ile tupo kwenye ubora wetu. Nawaangaliaga sana wanaojifanya mashabiki wa Man city bongo, ni watafuta faraja tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.