Nani kakuambia iyo ndo kazi yake? Tuanzie hapo.Wakuu habari za Muda huu?
Naomba kujua ni yapi madhara au faida za kuanza kutumia dose ya ARVs kwaajili ya kuimarisha kinga ya mwili kwa Mtu asiye na maambukizi ya HIV AIDs?
Hivi kuna madhara ya kufunga POP hata kama sijavunjika mguu? Ili kuimarisha kinga ya mifupa na kuilinda isivunjike ?Wakuu habari za Muda huu?
Naomba kujua ni yapi madhara au faida za kuanza kutumia dose ya ARVs kwaajili ya kuimarisha kinga ya mwili kwa Mtu asiye na maambukizi ya HIV AIDs?
Nenda kapime acha uwoga. Huko wataalamu watakushauri na kujibu maswali yako yote.Wakuu habari za Muda huu?
Naomba kujua ni yapi madhara au faida za kuanza kutumia dose ya ARVs kwaajili ya kuimarisha kinga ya mwili kwa Mtu asiye na maambukizi ya HIV AIDs?
Hii ina tofauti gani na ARV?Kwanini usitumie PrEP (Pre-exposure Prophylaxis), yaani dawa kinga?