Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina Mrisho amekutwa amekufa ndani ya kituo cha polisi Isaka wilayani Kahama mkoani Shinyanga.. Kwa mujibu wa mashuhuda wanasema kuwa marehemu alikamatwa jana kwa tuhuma za kukamatwa na Bangi na Gongo... Kwa mujibu wa maelezo ya askari wanasema kuwa marehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.