Unampikia unampa mapenzi na huongelei kuhusu ndoa..... Hakuna ulichoacha hapo Ndio maana unaachwa. Jaribu kuwa na malengo na tengeneza misingi imara unapoanzisha mahusino usijirahisishe hivyo. Hayo utafanya ukiolewa. Uzuri wa mwanamke ni tabia si sura wala umbo
Vyakula vya asili vinakaribia kupotea. Harufu Ile ya uasilia imebakia kwa kiwango Kidogo sana. Sanasana vijijini ndio unaweza kuisikia, madawa yanaondoa uhalisia wa kitu ikiwemo harufu ukiachilia mbali ladha.
Ukiona mtoto wa jirani anaharibika ukanyamaza haimanishi kuwa umefanya jambo la maana. Wewe km kaka/mlezi timiza wajibu wako kumuonya bila kusahau kumjulisha madhara yake. Wakikusikia haya wasipokusikia pia haya.
Kijana kwanza pole sana,... Wengi wameshauri vizuri kila mmoja kwa jinsi alivyoweza kuyapima maelezo yako. Ni wewe tu na akili yako ufuate lipi uache lipi. Kumbuka mali hutafutwa ila si roho ya binadamu. Jiulize ivi maana ya ndoa ni ipi? Je ni kubembelezana au ni maelewano? pia tafuta jibu la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.