Mi nadhani huyu mshikaji nae ana yake...huyo dada anaweza reveal ya mkuu hapa ukashangaa...red flag
#1 :kwa miaka yote 10 hujamuoa,u are wrong na the woman is mad on u about that,definetly,mtu kakuzalia,kakulelea kwa miaka kumi halafu umuoi?aisee lazima achanganyikiwe on that....red flag
#2 :dada kalalamika michepuko,obvious utakua unahusika hapa...red flag3#:kuna mambo yapo family related kwa upande wenu,hayo na mke wa kwanza wa dingi yako,na kifo chake,nk,siri wanazijua wao na wewe labda,hapo nako ni another issue....