Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,092
- 43,265
Kuna kipindi alipotea njia, hasa kipindi kile cha uchaguzi, alipoteza uwezo wake halisi wa kuchambua mambo alimezwa na hekaya za Mzee Mwanakijiji ,
Nadhani sasa na yeye anaona kabisa aliingizwa chaka
Mtawalaumu watu wengine wote isipokuwa nyinyi wenyewe...