Msaada: Ananipenda lakini hataki kunioa

Msaada: Ananipenda lakini hataki kunioa

Kukuoa siyo kipimo cha kukupenda unaweza kuolewa na ukazakishwa na ukaachwa vilevile tafuta maisha yako km ana hela akuwezeshe tu gar Nyumba nk
 
Jiulize kama na wewe unampenda au la unataka kuolewa tu, ila kama unampenda utaheshimu mawazo yake na kiu ya kuwa na mtoto na kama wewe huwezi kumzalia inabidi umsikikize yeye anaamua nini akiamua kuoa kubali tu maana hakuna namna ila huyo atakaye olewa awe mke wa nje na wewe mke mkubwa
 
Back
Top Bottom