Hapa unapiga ramli, umeulizwa wana shida gani unaanza kufananaisha DECI, Crypto na M-Koba. Sema umepatwa na changamoto gani kwenye hiyo huduma watu wakuelewe ili kama ni kusaidika usaidike au kama lengo ni kuwasaidia wengine uwe umewasaidia kwa point ABC
Nahisi wewe ndio haujaelewa dhumuni lake. Ungetumia picha halisi kw kazi mlizokwisha kuzifanya ninyi ingekupeni credit na wateja zaidi kuliko hii option ya kuweka picha (plan) mlizo render. Uhalisia huvutia zaidi kuliko hizi za ku sanifu / generate/kufikirika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.