Recent content by The Tan-talizer

  1. The Tan-talizer

    Mafundi pamoja na wauzaji wa Aluminium wa rejareja karibu ujipatie Aluminium pamoja na accesories kwa bei ya kiwandani.

    Sarcasm, niliamua tu kuzingua kufuatisha yawezekana hawatumii namba za mitandao tajwa pia
  2. The Tan-talizer

    Mafundi pamoja na wauzaji wa Aluminium wa rejareja karibu ujipatie Aluminium pamoja na accesories kwa bei ya kiwandani.

    Umepiga hiyo ya Yas au Voda. Maana ya chini hapo ya Voda inaita lakini haipokelewi
  3. The Tan-talizer

    Mandhari na Bustani Kuzunguka Nyumba Nazo Huandaliwa Ramani Kama Hivi

    Nahisi wewe ndio haujaelewa dhumuni lake. Ungetumia picha halisi kw kazi mlizokwisha kuzifanya ninyi ingekupeni credit na wateja zaidi kuliko hii option ya kuweka picha (plan) mlizo render. Uhalisia huvutia zaidi kuliko hizi za ku sanifu / generate/kufikirika.
  4. The Tan-talizer

    Starlink yawasilisha maombi ya leseni kwa TCRA. Je, safari hii watatoboa? Ushindani wa gharama na ubora wa internet utakuwaje?

    Hizi drama zenu ndio maana wao wamejisajili kama Starlink Satellite Tanzania Ltd.
  5. The Tan-talizer

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Tigo, Halotel, Airtel na Voda unajiungaje hizo unlimited za 50k?
  6. The Tan-talizer

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    1-0 Goal by Chris Smalling
  7. The Tan-talizer

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Tumebakia sisi tuu.... GGMU
  8. The Tan-talizer

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hongereni dk 53 Arsn 3-0 Hull
  9. The Tan-talizer

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hahahaa duuuh..!! Nina wasi wasi na dunia unayoishi labda ni tofauti na hii niliyopo..!! FA final?? Gunners??😳
  10. The Tan-talizer

    Tusi hili mwanaume yeyote hawezi vumilia

    Tusi kama hili linaweza kutumiwa kwenye situation gani kwa mfano??
  11. The Tan-talizer

    Alsharpton FBI informant ?

    Umenena ndugu
Back
Top Bottom