Mkuu utawapatia shida wataalam kukusaidia. Ungeandika ni decoder ya kampuni gani kwa hapa nyumbani mf dstv,azam,startimes nk,model gani ya decoder husika na mengine useful.
Tumeshahama kwenye hili tukio na media zinajua wananchi tunataka habari za motomoto sio muendelezo wa habari zilizopita "kiporo". Matukio mapya yanafunika yale ya zamani siku zinasonga.
Hapo tusubiri "connection" ambayo itatusahaulisha matukio ya sasa.
Umeongea kiume sana na umemaliza yote kwenye hilo.
Tukirudi kwa muanzisha uzi, MOSI kama una uhakika huwezi kumudu gharama za kupotezea vitu vyako (vyote au baadhi) badala yake unalazimika kuvifuata basi usitumie njia "rasmi" bali tafuta wenye mamlaka rasmi kwa njia isiyo rasmi uongozane nao...
Hiyo ni data saver (tofauti na power saver). Inaonesha umeruhusu udhibiti wa matumizi ya "data" au "MB" kwa lugha rahisi.
Nyongeza: Tujifunze kutumia search engines na internet kwa ujumla kwa changamoto ndogo ndogo kama hizi mf: ungeandika tu triangle with arrows on a phone ungepata jibu mkononi...
https://www.jamiiforums.com/threads/gen-mboma-ajaribu-kugombea-aangushwa.21662/
Rejea hii thread, yupo mwenzake alishawahi kuingia kwenye kinyang'anyiro. Sijui ulikuwa wapi enzi hizo
Na nyie abiria wengine (mleta uzi ukiwa mmoja wao) mlichukua hatua gani kuzuia unyanyasaji huo? Maamuzi ya kuikalia kimya dhuluma ni sehemu ya ushiriki wako. Ni wakati sasa watanzania tusimame na kujitetea/kuteteana, imagine binti mdogo wa shule anapambana na wanaume wanne halafu kuna mwanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.