Tar..21/2/2016 kutakuwa na kamatakamata kwa wafanya biashara wadogowadogo ambao wataonekana kufanya biashara maeneo yasiyoruhusiwa.....kwahiyo me natoa rai kwa serkali kutotumia nguvu nyingi kwenye zoezi hilo.
Jamani huku kwetu matumbo joto, kwani nyumba yangu iko bondeni miaka mingi nimeambiwa nitoke, ila viongozi wa Chama fulani wameniambia nisiondoke nitulie....
Sasa naombeni ushauri wenu hivi bomoabomoa imesitishwa?
Jamani kuuliza si ujinga,naombeni tufahamishane kuhusu Karo kwa Shule binafsi,ni kweli zimepunguzwa na serkali?au habari za mtaani tu?naombeni majibu wanajamvi.
Yaani wewe unajigeuza kuwa mpiga ramri.....oh mara raisi aende kujifunza,ina maana tutakuwa na maraisi wakujifunza tu?acha mawazo ya awamu ya nne wewe!!!!!!!!John hana tabia hizo.
Msaada wa kimasomo;alama zifuatazo ktk mtihani wa kidato cha nne 2003 naruhusiwa kujiunga na chuo cha uongozi wa mahakama Lushoto?Civics..C,History..C,Geography..D,Kiswahili..D,English language..D,Math F,Bios F.naombeni majibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.