Recent content by the preacher

  1. the preacher

    Abu bakr 's death is good awaited news for many peace lovers across the globe

    ABU BAKR 'S DEATH IS GOOD AWAITED NEWS FOR MANY PEACE LOVERS ACROSS THE GLOBE The announcement of the death of the ISIS terrorist leader following a US Special Forces operation is of course a breath of fresh air to all those who have suffered the ills of terrorism. Those ills have primarily...
  2. the preacher

    Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha sita 2017

    amemaliza fomu six namba ya mthani ni s.1270/0505
  3. the preacher

    Kisa cha Ali Mwinyi na Kitwana Selemani Kondo 1950s

    Nirushie kwenye Whasap 0655236255
  4. the preacher

    Chimbuko la kabila la Wakurya

    Umeacha wengi tu! Wabasurwa? Abaacha? Abakaya? Abagumu? Abagendi?
  5. the preacher

    Kisa cha Ali Mwinyi na Kitwana Selemani Kondo 1950s

    Tatizo sauti ya chini sana
  6. the preacher

    Madhara ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile

    Duh! Galatia unshabikia sanaaaaa
  7. the preacher

    Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es Salaam, Dr. Valentino Mokiwa avuliwa uaskofu

    Mfumo wa mtu kuandaliwa hadi aiitwe Askofu ndio uliotengeneza tatizo na ilianza jimboni walipoleta dhana ya demokrasia kanisani! Kwamba majina yapendekezwe na kila usharika, kisha yachujwe na kamati, kisha yapelekwe jimboni na kuchujwa tena, kisha yarejeshwe katika dayosisi na yapigiwe kura na...
  8. the preacher

    Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es Salaam, Dr. Valentino Mokiwa avuliwa uaskofu

    Sio Kweli, naomba mwe na taarifa sahihi kwanza kabla ya kuzileta maeneo kama haya! Hayo ni maelezo ya Askofu Mkuu ambaye pia amevunja katiba wazi kabisa! Kwanza alitakiwa apokee mashitaka kutoka kwa standing committee, au au wajumbe 5 wa chapters ama synod ya kanisa la Dar na sio kwa wakristo...
  9. the preacher

    NHC: Hatujamuonea Mbowe

    Hiyo kauli ya " pamoja na wadaiwa kuwa wengi tumeamua kuanza na Mbowe " tu ni ushahidi wa wazi kwamba tukio hili limefanyika kisiasa!
  10. the preacher

    TV Prog. Alert: Tume ya Uchaguzi, NEC, Yajibu Hoja za JF Kuhusu Uchaguzi Huru na Wa Haki!

    Ungeuliza pia walipokamata tallying zingine why za ccm ziliachwa? ! Kwangu hili ndio swali hasa!
  11. the preacher

    Nape amjibu Lissu: Kama CHADEMA mnachukia ufisadi, mfukuzeni Lowassa

    Tunafika mbali, yeye kwa sasa anatakiwa kuheshumu watu, kama Lowasa ana tuhuma na yeye anazo so wote ni watuhumiwa, kwa sasa uchaguzi umeisha na ni waziri basi aache kabisa siasa za kulengana tena akomae kidogo na kufanya siasa za hoja! Hata hivyo inaonekana ana ugomvi binafsi na Lowassa lakini...
  12. the preacher

    Nape amjibu Lissu: Kama CHADEMA mnachukia ufisadi, mfukuzeni Lowassa

    Kutukana sio njia sahihi lakini kwa Nape nilishaacha kumsikiliza zamani maana ukimsikiliza kwa mda wote ni kama ana ugomvi binafsi na Lowassa!! Zote hizo ni tuhuma kama yeye alivyo na tuhuma ya kutoa rushwa wakati wa kugombea ubunge!!!! Tuhuma haimpi mtu jina hadi ithibitishwe!!!! Nape hana...
  13. the preacher

    Sheikh Ilunga Hassan Kapungu 1957 -2014

    Amekufa lini? maana unapotoa habari kama hii lazima uweke pia amekufa lini? katika hospitali gani? saa ngapi au hat siku gani?
Back
Top Bottom