Kisa cha Ali Mwinyi na Kitwana Selemani Kondo 1950s

Kwa hiyo Wakristo hawakupigania Uhuru wa Tanganyika?
Kusema lile la ukweli, wakristo walikuwepo lakini kwa uchache sana hii kutokana na kuwa harakati hizi zilifanyika zaidi maeneo ya pwani ambayo kwa asilimia kubwa ilikuwa inakaliwa na waislamu, labda harakati zingeendeshwa maeneo ya bara kunakokaliwa na wakristo wengi historian ingekuwa tafauti
 
Tryphone mie huwa sibishani. Mimi huwa nasomesha kile ambacho hakikuwa kinajulikana. Hayo unayosema ya elimu ni kwa kuwa ndivyo ulivyoaminishwa na historia rasmi. Hapa usinieleze hotuba za Nyerere. Hakuwa anajua ilikotoka TAA na mipango yake kuunda TANU. Nyerere hakupigania hicho unachodai. Umeisoma historia ya Sheikh Hassan bin Ameir katika TANU?
 
Unagombea u sheikh?
Bujibuji,
Usheikh unataka uwe na ilm.

Usheikh haugombewi ingawa mimi ningependa sana niwe
na ilm ya kuweza kuwa sheikh.

Hili jina Mohamed ni jina la babu yangu mzaa mama, Sheikh
Muhammad bin Mvamila
.

Bahati mbaya mimi nimeangukia katika hii, ''scholarship,'' kama leo
hii unavyonisoma hapa.

Kama vile huwezi kugombea kuwa msomi ni hivyo hivyo huwezi
kutamani kuwa shiekh ukawa.

Usheikh unataka ilm.
 
Mohamed Said nashukuru sana kwa clip yako na juhudi zako ktk kufukua historia ya harakati za uhuru. Ila mim na wewe tutatofautiana ktk interpretation. Kuna jambo kubwa sana hapa umeliibua lakin kwakuwa wewe ni msimulizi mzuri umelipotezea. Jambo hilo ni kuwa kuna waislam mashuhuri sana waliokuwa mstari wa mbele ambao walikuwa vibaraka wa wazungu-kwao mzungu alikuwa mtu mwema tu. Mbwembwe zote za KK kumbe alikuwa 'Usalama wa Taifa' wa mkoloni. Hii ni aibu kubwa. Kwa hili, huwezi tena kutaja neno uhuru halafu ukataja jina KK au Tambwe.

Kuna wazo kwamba nyie wazee wa Dar mlikuwa comfortable na ukoloni maana mlikuwa na nafasi nyeti ktk serikali ya mkoloni. Kimsingi kama mlishiriki harakati za uhuru, basi lengo lilikuwa vyeo vya wazungu mlivyokuwa mnataman maana mlishaonjeshwa utamu. Mtafiti mzuri ni yule ambaye anafanya ukweli ndio uongee, sio hisia na maoni yake. Wewe mzee wetu ulipaswa kuongelea kwa kina u-snitch wa waislam ktk harakati za uhuru.

Pia sasa tunajua, wazee wako walimuunga mkono kwa sababu ya imani yake, sio uwezo wake. Ndio sababu kuu ya kuwepo manung'uniko mara tu baada ya uhuru. Kwa wazee wa Dar, Nyerere hakuwa na umuhimu tena maana kazi yake ilikuwa kuleta uhuru tu. Kufutwa kwa EAMWS ilikuwa ni matokeo ya mawimbi ya chini kwa chini ya wazee wako kumhujumu Nyerere. Na hapa bado hatujazungumzia harakati za Bibi Titi na jaribio la mapinduzi.
 
Itabidi utueleze na Mchango wa wazee wako kwenye biashara ya makinikia
 
Mohamed Said nashukuru sana kwa clip yako na juhudi zako ktk kufukua historia ya harakati za uhuru. Ila mim na wewe tutatofautiana ktk interpretation. Kuna jambo kubwa sana hapa umeliibua lakin kwakuwa wewe ni msimulizi mzuri umelipotezea. Jambo hilo ni kuwa kuna waislam mashuhuri sana waliokuwa mstari wa mbele ambao walikuwa vibaraka wa wazungu-kwao mzungu alikuwa mtu mwema tu. Mbwembwe zote za KK kumbe alikuwa 'Usalama wa Taifa' wa mkoloni. Hii ni aibu kubwa. Kwa hili, huwezi tena kutaja neno uhuru halafu ukataja jina KK au Tambwe.

Kuna wazo kwamba nyie wazee wa Dar mlikuwa comfortable na ukoloni maana mlikuwa na nafasi nyeti ktk serikali ya mkoloni. Kimsingi kama mlishiriki harakati za uhuru, basi lengo lilikuwa vyeo vya wazungu mlivyokuwa mnataman maana mlishaonjeshwa utamu. Mtafiti mzuri ni yule ambaye anafanya ukweli ndio uongee, sio hisia na maoni yake. Wewe mzee wetu ulipaswa kuongelea kwa kina u-snitch wa waislam ktk harakati za uhuru.

Pia sasa tunajua, wazee wako walimuunga mkono kwa sababu ya imani yake, sio uwezo wake. Ndio sababu kuu ya kuwepo manung'uniko mara tu baada ya uhuru. Kwa wazee wa Dar, Nyerere hakuwa na umuhimu tena maana kazi yake ilikuwa kuleta uhuru tu. Kufutwa kwa EAMWS ilikuwa ni matokeo ya mawimbi ya chini kwa chini ya wazee wako kumhujumu Nyerere. Na hapa bado hatujazungumzia harakati za Bibi Titi na jaribio la mapinduzi.
Smooth,
Nakuomba usome kwanza makala haya ili lau kwa mukhtasari uijue historia ya uhuru:
Mohamed Said:
Hapana Haja ya Kuiogopa Historia ya Uhuru wa Tanganyika


Ama kuhusu hilo la EAMWS tatizo ilikuwa ni kutaka kujenga
Chuo Kikuu.

Hili lilwatisha.
Hili la Bi. Tiiti lina historia yake pekee.

Fungua uzi nitakuja kutoa darsa In Shaa Allah.
 
Mohamed Said nashukuru sana kwa clip yako na juhudi zako ktk kufukua historia ya harakati za uhuru. Ila mim na wewe tutatofautiana ktk interpretation. Kuna jambo kubwa sana hapa umeliibua lakin kwakuwa wewe ni msimulizi mzuri umelipotezea. Jambo hilo ni kuwa kuna waislam mashuhuri sana waliokuwa mstari wa mbele ambao walikuwa vibaraka wa wazungu-kwao mzungu alikuwa mtu mwema tu. Mbwembwe zote za KK kumbe alikuwa 'Usalama wa Taifa' wa mkoloni. Hii ni aibu kubwa. Kwa hili, huwezi tena kutaja neno uhuru halafu ukataja jina KK au Tambwe.

Kuna wazo kwamba nyie wazee wa Dar mlikuwa comfortable na ukoloni maana mlikuwa na nafasi nyeti ktk serikali ya mkoloni. Kimsingi kama mlishiriki harakati za uhuru, basi lengo lilikuwa vyeo vya wazungu mlivyokuwa mnataman maana mlishaonjeshwa utamu. Mtafiti mzuri ni yule ambaye anafanya ukweli ndio uongee, sio hisia na maoni yake. Wewe mzee wetu ulipaswa kuongelea kwa kina u-snitch wa waislam ktk harakati za uhuru.

Pia sasa tunajua, wazee wako walimuunga mkono kwa sababu ya imani yake, sio uwezo wake. Ndio sababu kuu ya kuwepo manung'uniko mara tu baada ya uhuru. Kwa wazee wa Dar, Nyerere hakuwa na umuhimu tena maana kazi yake ilikuwa kuleta uhuru tu. Kufutwa kwa EAMWS ilikuwa ni matokeo ya mawimbi ya chini kwa chini ya wazee wako kumhujumu Nyerere. Na hapa bado hatujazungumzia harakati za Bibi Titi na jaribio la mapinduzi.

Smooth,
Ingia hapa:
Mohamed Said: Uhuru wa Tanganyika Haukuletwa na Nyerere Peke Yake Mohamed Said
 
Gangongine,
Nimetafiti na kuandika, ''paper,'' kadhaa kuhusu tatizo hilo.
Nalijua vizuri sana.

Nadhani unajua kuwa EAMWS ilivunjwa kwa sababu walitaka
kujenga Chuo Kikuu 1968 na Mufti Sheikh Hassan bin Amir
akafukuzwa.

Nadhani unajua serikali pia ilikataa kutoa kibali kwa IOC kujenga
Chuo Kikuu Tanzania na chuo hicho kikajengwa Mbale, Uganda.

Nadhani unajua pia kuwa Darul Iman walitaka kujenga shule ya
ufundi Kibaha wakahujumiwa na mradi ukahamishiwa Somalia
lakini Aboud Jumbe akaingilia kati kwa hoja kuwa fedha ni za
Tanzania na kama Bara hawataki Waislam wajengewe hiyo shule
mradi uhamishiwe Zanzibar.

Darul Iman badala ya shule wakajenga Chuo Kikuu Tunguu.
Mimi ni mmoja wa kamati ile ya mradi huo wa chuo hicho.

Najua mengi sana kuhusu nchi yetu inavyoendeshwa na maamuzi
yake inapokuja masuala ya Waislam hasa katika elimu.

Fungua uzi nitakuja kutoa darsa kuhusu Waislam na tatizo la Elimu
Tanzania.
ww mwenyew elimu umeipata kwa bahati ungekuwa mganga tu km sharif majin!*ushukuru ukristo ww mfia dini!
 
Tryphone mie huwa sibishani. Mimi huwa nasomesha kile ambacho hakikuwa kinajulikana. Hayo unayosema ya elimu ni kwa kuwa ndivyo ulivyoaminishwa na historia rasmi. Hapa usinieleze hotuba za Nyerere. Hakuwa anajua ilikotoka TAA na mipango yake kuunda TANU. Nyerere hakupigania hicho unachodai. Umeisoma historia ya Sheikh Hassan bin Ameir katika TANU?
yaan ww ni zee la ajabu hutaki kuamini historia iliyoandikwa tofauti na ww!
hutak kuamin nyerere kapigania tanganyika,basi wewe na mama yako ndo mliopigania tanganyika mnajua ilipotoka mpk ss!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom