The ANSWER is only One.
Kwasababu ya MALEZI MABOVU.
Na tunapokwenda ndio wataanguka zaidi na kuishia kuolewa na dada zetu.. Ni wazazi wachache sana wanawalea watoto wao kuwa baba baadae, ni wazazi wachache sana wanawalea watoto wao kuwa mama baadae.. Wanaharakati wanajitahidi kwa namna yoyote...
Kwa mtazamo wangu ni kama wote mnazungumza kitu kimoja.. nadhani hiyo pia haikuwa hija ya masingi.. "hoja ya msingi ilikuwa nu uadilifu aliouona Mwl. Nyerere kwa BM na baadae kuja kumkosoa lakini pia misingi iliyoacha na BM" haya na kuongea na wageni au kutoa siri za ndani nadhani sionya msingi...
Hizi akili sijui mnazitoaga wapi... In ushabiki au Mapenzi kwa mtuhumiwa???!?
Mbona haya hatukuyasikia wakati wa uhakiki na hao waliofukuzwa walikuwa wanafanya kazi!?!?
Mtu atapimwaje utendaji na utendaji bila elimu na CV!?!? Ivi tunaelekea wapi jamani!?!?!
TUACHE USHABIKI WA KIJINGA....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.