Mzee mwenziwe ili akamshughulishe na kabao kamoja!! unajua huyo maza kakaa muda gani bila kuonja dudu kwa mirindimo inayotakiwa...acha mama ale raha za dunia kihalali kbs huku akisubiri siku zake zifike...huyo bro mwacheni nae ale mambo adimu ya kungwi plus mkwanja.Mmmh ni sawa kama dini inasema ivo ila Kwakwel inabidi kuangalia na mazingira yenyewe mama una watoto unahangaika nini kwenda kuolewa na vijana bora angeolewa na mzee mwenziye ni sawa.
Hata uyo mkaka nae hajielewi anamuoa bibi mwenye wajuu ili iwaje?wataweza kweli kutengeneza familia????
Yan kuna vitu ukifikiria zaidi naona siyo sawa Kwakwel
Huyo mama ndio anampeleka kwa Waganga kwenda kufanya mambo, kwa iyo mambo hayaa ni shida sanaDiamond anaishi kwa shinikizo la Bi Sandra lolote atakaloambiwa ye sawa tu
Wa kambo kaangalia fursa atoke vipi maadamu uhakika wa kupaka grisi upo.Hayo Ndio matumizi ya Pesa.
Wanaume wa dar wanaangalia uhakika wa kupata grisi ya kupaka.Mjini cha cha bure ni pumzi tu.Wanaume wa dar kwa kuoa vibibi cc GuDume
atakuwa ni yeye kwani hizi ni zakeNamuona beira bby boya kwa id ya zamani hahaaa
heeee kumbe..asante kwa kunishtuaNamuona beira bby boya kwa id ya zamani hahaaa
huyo yupo kimaslahi tu huoni ata watoto amemshika kwa kinyaa flani vyuma vimekaza hivi wamesha funga ndoa? na je anaitwa nani huyo uncle na mama yake diamond insta anatumia jina gani nimchore sorry kwa maswaliInshort huyu kaka naskia ni mjanja sana yani yupo kimaslahi zaidi. Na nnasikia huyu mama kwa sasa ni mjamzito na soon anatarajia kujifungua yaani huyu kaka ndio anayefaidi hela za diamond kwa sasa kupitia mgongo wa mama yake bi sandra
Kiukweli mapenzi hayana umri so tumuacheni na maisha yale wapendwa ila huyu mama aache kujianika tu mitandaoni maaana anatia aibu sana
Una stress za kuolewa kaombe ushauri kwa mama dangote akushauri ni kiaje upate mume.Naona mnajaribu kumrudisha kwenye chart diamond?
Nilishasema, mond bila kick atapotea kama moto wa majivu japo napenda kusikiliza muziki wake
Huyo mama si kashaanza menopause sasa iyo mimba kashikajeInshort huyu kaka naskia ni mjanja sana yani yupo kimaslahi zaidi. Na nnasikia huyu mama kwa sasa ni mjamzito na soon anatarajia kujifungua yaani huyu kaka ndio anayefaidi hela za diamond kwa sasa kupitia mgongo wa mama yake bi sandra
Kiukweli mapenzi hayana umri so tumuacheni na maisha yale wapendwa ila huyu mama aache kujianika tu mitandaoni maaana anatia aibu sana