Hebu nipe namba zao niwasikilize kwanza mitazamo yao kuhusu wewe na maisha kwa ujumla, halaf ntarudi kwako kwa ushauri zaidi. Lengo ni ku-balance story
Kwa maana jinsi hii 'Mungu wa Magogoni' alipenda Kiki/
Hata akamtuma mwanae wa pekee aende Clouds akawatie mikiki/
Ili kila atakayemwona au kumsikia ajue 'Bashi' sio wa kispotispoti/
Bali wajue he is the right hand of His Majesty.
Amen.
Usalama wa Taifa iko chini ya Ofisi ya Raisi. Na wizara ZOTE pamoja na Waziri Mkuu zipo chini ya Paul Makonda. Kwa kifupi, kimadaraka Tanzania akitoka Raisi anafuata Paul Makonda. Bado kuna kitu hakijaeleweka Wakuu?
Unaweza rub shoulders na magwiji bro/
Ukamiliki ma-bungalow/
Watu wakakuita HERO/
But still IQ ikawa ZERO/
Sio kila mzigo unaweza beba/
Acha washtushwe - Huyu jamaa ni mzigo wa miiba/
Vya nchi Kavu haviendi angani/
Leo...Leo nani ni nani?/
Leo gear zinawachenjia angani/
Naomba_Mnisaidie_Kushea...
Sioni tofauti kati ya akili ya huyu DC na ya yule jamaa yetu aliyesema Hakuna ndoa kama huna Birth Certificate... Maana wanaonesha ukomavu kuanzia kwenye shingo kushuka chini, sio kwenda juu.
In my opinion, this is a two-way phenomenon. Bahati mbaya sana umeamua kuitazama kwa upande mmoja.
Sisemi kwamba ni sahihi baba kutomhudumia mwana. Hapana. That's totally unacceptable! Lakini je, unajua kwamba wewe binafsi una mchango wa zaidi ya 75% kwenye matatizo uliyonayo na huyo...
Do you guys know there's a thing called "Human Rights"... "Freedom of Choice"..? Sasa what this Old folk is doing doesn't have any other name than TYRANNY. Kwani mashoga wakiamua kufunga ndoa wewe binafsi inakuathiri vipi? Raise your kids properly if you don't want them to do it, halafu let...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.