Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,099
- 24,338
Kapigwa tochi,mwisho spidi 50
Kwahiyo amekuwa waziri wa kabumbu make niliona na Yanga wanamtumia pia. Huyu mzee wa mabenderaYuko na singida united now
unjua kinacholeta shida hapa ni takwa la watu kuwa makonda atumbuliwe,namnukuu mkuu wa Nchi pale ubungo juzi,alisema tena mnavyonipangia kwenye mitandao ndio mnaaribu kabisa mimi sipangiwi,ni bora mngekaa kimya!!!!sijui kama hamkuelewa au kiongozi shupavu kama Mh Rais hafanyi kazi kwa kupitia mitandao imeandika nini,viva My prezdaa
alisema MH. RAIS TUNDU LISSU kuwa "huyu DIKTETA UCHWARA inabidi apingwe kwa njia yeyote"Kwa ufahamu wangu mdogo waziri wa mambo ya ndani wa nchi yetu ndiye msemaji wa mambo yote yanayohusu polisi, magereza, uhamiaji na hata usalama wa taifa kama sijakosea sana. mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kwenye mkoa wake.... anaweza kuvitumia vyombo vya ulinzi na usalama kwenye issue official.... sasa hili la mkuu wa mkoa kuwatumia police kwa issue private je waziri wa mambo ya ndani ulitoa baraka zako ndo maana upo kimya au upo nje ya nchi haujui kinachoendelea au mkuu wa police ndo alitoa kibali? wote mpo kimyaaaa nini tatizo au hamuoni kama hilo ni tatizo? mkikaa kimya kuna hatari zifuatazo
1: wananchi tutaamini mmehusika kwa nna moja amanyingine.
2: tutakosa imani ni nyie viongozi wetu.
3: ipo siku hao police wataelekezwa kufanya jambo baya zaidi ya hilo liliofanywa....
Waziri na mkuu wa polisi naomba kujua toka kwenu kama kutumiwa kwa hao polisi ilikuwa sahihi na kama siyo sahihi wananchi tuwaone hata mkitoa karipio tu kwa viongozi wa kisiasa wasiwatumie polisi kwa issue zao binafsi....nawasilisha....
Mtanzania mzalendo... Bado nina imani na nyie wakuu...
Zipo sintofahamu nyingi sana katika nchi yetu kwa sasa. Katika sakata la madawa ya kulevya Waziri wa Mambo ya Ndani alifumba kinywa.Kwa ufahamu wangu mdogo waziri wa mambo ya ndani wa nchi yetu ndiye msemaji wa mambo yote yanayohusu polisi, magereza, uhamiaji na hata usalama wa taifa kama sijakosea sana. mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kwenye mkoa wake.... anaweza kuvitumia vyombo vya ulinzi na usalama kwenye issue official.... sasa hili la mkuu wa mkoa kuwatumia police kwa issue private je waziri wa mambo ya ndani ulitoa baraka zako ndo maana upo kimya au upo nje ya nchi haujui kinachoendelea au mkuu wa police ndo alitoa kibali? wote mpo kimyaaaa nini tatizo au hamuoni kama hilo ni tatizo? mkikaa kimya kuna hatari zifuatazo
1: wananchi tutaamini mmehusika kwa nna moja amanyingine.
2: tutakosa imani ni nyie viongozi wetu.
3: ipo siku hao police wataelekezwa kufanya jambo baya zaidi ya hilo liliofanywa....
Waziri na mkuu wa polisi naomba kujua toka kwenu kama kutumiwa kwa hao polisi ilikuwa sahihi na kama siyo sahihi wananchi tuwaone hata mkitoa karipio tu kwa viongozi wa kisiasa wasiwatumie polisi kwa issue zao binafsi....nawasilisha....
Mtanzania mzalendo... Bado nina imani na nyie wakuu...
alisema MH. RAIS TUNDU LISSU kuwa "huyu DIKTETA UCHWARA inabidi apingwe kwa njia yeyote"
wizara zipo tu kwa matakwa ya KIKATIBA ila hakuna wizara inayo operate independently....
maamuzi yote anaamua dikteta UCHWARA,
yeye ndio wazir wa fedha na mipango...
yeye ndio wazir wa uchukuzi....
yeye ndio wazir wa afya....
yeye ndio wazir wa mambo ya ndani...
yeye ndio wazir wa sheria...
yeye ndio IGP "i wish i could be igp"
na yeye ndiye wazir mkuu (PM)
wala usimlaumu wazir yeyote yule kuwa yuko kimya kwenye ishu yoyote.
ila mimi namlaumu wazir wa viwanda kwa kutudanganya kuwa nchi imeanzisha viwanda vingi afu analeta takwimu ya viwanda vya SIDO...
hivi wakati mnaomba kura mlituahidi viwanda vya SIDO?
mimi ningewashaur MAWAZIRI wote wangejiuzuru ili aendeshe yeye mwenyewe nchi.










Hah hah hah hahYule ambae anatamani kuwa IGP amesha msemea.