Tundu Lissu: TLS tumeomba mwaliko wa Magufuli tukampongeze Ikulu

Sasa Lissu kwanini anaomba kwenda kumuona Rais anayemuita dictator?
Kumbe anajua hana lolote mbele ya Mgufuli hahahahahaha
Akumbuke hakuna vitumbua Ikulu.
 
Sasa Lissu kwanini anaomba kwenda kumuona Rais anayemuita dictator?
Kumbe anajua hana lolote mbele ya Mgufuli hahahahahaha
Akumbuke hakuna vitumbua Ikulu.

Halafu, hivi huyo Lissu naye hakuwahi kusema kuwa hamtambui Magu kuwa ndo rais?
 
Kumpongeza sio lazima uende ikulu wewe rusha humu atasoma, pia unaweza tweet tu
 
Kumbe anajua TLS ni nothing kwenye muhimili uliojichimbia zaidi!!!

Kwa hiyo kila taasisi ni muhimili wa serikali na kwamba taasisi inajipa nguvu yenyewe, ikiimarika na kujichimbia kama unavyosema inakuwa na nguvu za kusimamia serikali?
 
Hata wale niliotegemea watakuwa wameelewa nao chali, kuna kazi kubwa sana ya kuwatoa watu kwenye hili shimo waliloingia, mistari michache hivi bado kuna watu wameshindwa kutambua ujumbe uliokusudiwa, ( baba hakombi mboga, baba anapenda mboga) boss hachelewi kazini boss hajafika. Au labda mimi ndo sijaelewa

Kazi ni kubwa sana pelekeni watoto shule hata wasipopata ajira msiwaze wala kusonononeka mtakuwa kwa kiasi kikubwa mmewafungua akili zao mambo madogo madogo yasiwapige chenga,
 
Sasa Lissu kwanini anaomba kwenda kumuona Rais anayemuita dictator?
Kumbe anajua hana lolote mbele ya Mgufuli hahahahahaha
Akumbuke hakuna vitumbua Ikulu.

Halafu, hivi huyo Lissu naye hakuwahi kusema kuwa hamtambui Magu kuwa ndo rais?

Wamemis juice

Kumpongeza sio lazima uende ikulu wewe rusha humu atasoma, pia unaweza tweet tu
Ninachokiona kwa wafuasi wa Maghufuli na CCM ni kuwa mnachangia sana kumisslead Mr Rais kuna wakati si kila wazo mlichukuli negative. Hawa ni watu wasomi wanataka nafasi ya konana na Rais kuwekana sawa ukizingatia hali iliyokuwepo kabla ya uchaguzi wa TLS

Lakini ninachokiona kwa pro Government hampendi kuona mchanganyiko huo wa mawazo kati ya serikali na TLS ukileta tija na kuondoa sintofahamu iliyokuepo kabla.

Pili Maghufuli pamoja na kuwa Rais anahitaji ushauri ili uongozi wake uwe kabambe. Na si kuonekana hasi kwa wananchi kadri siku zinavyosonga.
 
hii kauli is very soothing... congrats Rais wa TLS.. Hapa hata ukimkosoa mtu anakubali na mnaelekezana... we need to excercise this...si kila siku maugomvi,kejeli n.k...
Huyu sio Lissu ninaemjua, haya ni mabadiliko makubwa sana...
Nimewahi kusema humu haiba ya Lissu/Upinzani nchini imeshuka sana kutokana na approach inayotumika kila wanapotaka ku address issue flan.
Daima wamekuwa wakitumia Matusi,KASHFA, Dharau, kejeli, kebehi, na vijembe pale wanapotaka kukosoa. na kushauri... ninachoamini approach hii humjengea kibri na dharau yule unayemkosoa/unayemshauri.
Ndio maana sikushangaa niipoona Diamond Platnumz akisikilizwa faster kuliko Lissu kwani approach ilikuwa na Busara kuliko wanasiasa wetu
 
Mimi Sipangiwi, Mimi Sijaribiwi, Mimi Ni mhimili uliochimbiliwa Chini zaidi ya Mingine, Mimi nikifunga hakuna wa Kufuungua! masikini
IMG_20170325_173610.jpg
 
JPM watu washaanza kukuelewa
Kazi anafanya ila kazi zinazostahili kufanwya na waziri aache waziri awajibike sio kila kitu yeye hata ambacho msaidizi wake angedili nacho yeye tayari sasa wengine watafanya kazi gani au hawaamini?
 
Nchi haiwezi endeshwa kwa mabeef na uhasama...Tundu amesoma psychology anataka kumueasy huyu mpanikaji!!
Nijambo zuri kung'ata na kupuliza na ukishamjua mtu anapenda kutumia miguuuvu hutumii nguvu nyingi,ni akili tu kidogo
Hata ampambe vipi magufuli hawezi kukaa na lisu ,,lisu ameshamtukana sana magu hata kama mimi ndo ningekuwa magu hilo lisingewezekana nawasilisha
 
Back
Top Bottom