Binman
Member
- Jul 17, 2016
- 68
- 30
Habari wana jf,,, sorry kama kuna mtu analijua shirika lolote linasave mtu may be kumsomesha then anakuja kufanya kazi kwao kwa miaka kazaa,, anasaidie info zao... Coz nimepata chuo china. Sasa tatizo linakuja kwenye pesa,, au kama kuna mtu anajua scholarship za mtindo huo wa kuingia mkataba baada ya kusoma anisave...... Plz