Recent content by The New Saints

  1. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Fetish ni nini? Mjadala wa kuvutiwa kingono

    Haya mambo ya ngono mengine ni extrime na inahusishwa na ugonjwa wa akili! Mfano mtu anataka Kuona demu wake akigongwa na mtu mwingine mbele yake, mwenye demu anapata sexual satisfaction, mwingine anataka kufanya ukatili kama kupiga makofi au kunyonga ndo aridhike, etc
  2. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Fetish ni nini? Mjadala wa kuvutiwa kingono

    Hiyo ni fantasy. Fetish ni kuhusu kiungo Cha mwili ambacho kikawaida hakihusiki na ngono. Mfano miguu, vidole! Mtu anataka anyonywe kidole au aingize kidole kwenye mdomo wa demu etc
  3. T

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mahakama Kuu Masijala ya Kigoma yaruhusu shauri la kupinga Tume ya Uchunguzi wa Kijinai ya Matukio ya Uchaguzi Mkuu

    Mpango wa kuchelewesha uchunguzi, 2030 hii hapa Bado tunachunguza
  4. T

    JamiiForums Tanzania Leo nimemwona Mwandambo Daah! Mpaka nimelia. Nimesikitika Sana

    Haeleweki. Sasa hizi people hazina muda wa kufanya uhakiki just go straight, zama za AI hizi usituandikie kama Shaaban Robert
  5. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Video: Bi Haika Lawere; Wanawake ficheni Mali Zenu, Wanaume Ni Matapeli

    Serikali tena?
  6. T

    JamiiForums Tanzania Ni muhimu taifa kuanzisha kampeni ya mapema ya kuwakataa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwenye sanduku la kura 2030

    Kuna sanduku la kura nchi hii? Nafikiri CC ya ccm iwakate mapema, maana in every sense TZ hakuna uchaguzi
  7. T

    JamiiForums Tanzania Nathubutu kusema nimeushinda uraibu

    Wadada wa kwenye grocery uchawara ndo zangu! Naweza kumwambia asifungue kabisa!
  8. T

    JamiiForums Tanzania Men's talk: unaoa tabia, shape au bikira?

    Hatari
  9. T

    JamiiForums Tanzania Men's talk: unaoa tabia, shape au bikira?

    Mbona hujazungumzia sura? Mimi nilioa flat ila ana sura nzuri sana. Ila nashangaa baada ya watoto wawili amepata shepu ushwara! Sijui ni kunenepa au nini
  10. T

    JamiiForums Tanzania Hakikisha mda wote nyumbani kwako haukosi dawa za dharula

    Tahadhari ni muhimu. Unapovuka Barabara utaacha kuangalia usalama kisa Mungu akiamua utaenda tu? Sisi wenye watoto under 5 joto likipanda usipokua na dawa ya kulishusha linaweza kwenda na mtoto utasema ni Mungu? Wakati ukimpa dawa ya kushusha mnafuka hospital vizuri
  11. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Itakuwa aibu Ureno wakishindwa kufika fainali na midfield ya Vitinha, Joao Neves na Bruno Fernandes

    Pia zama za cr 7 zimeisha angekubali tu!
  12. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Itakuwa aibu Ureno wakishindwa kufika fainali na midfield ya Vitinha, Joao Neves na Bruno Fernandes

    Hakika
  13. T

    JamiiForums Tanzania Pombe haijawahi kusema uongo hata siku moja😂

    Mmmh sijawahi Kuona hiyo.
  14. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    England mwisho wao ni nusu au robo
Back
Top Bottom