Haya mambo ya ngono mengine ni extrime na inahusishwa na ugonjwa wa akili! Mfano mtu anataka Kuona demu wake akigongwa na mtu mwingine mbele yake, mwenye demu anapata sexual satisfaction, mwingine anataka kufanya ukatili kama kupiga makofi au kunyonga ndo aridhike, etc
Hiyo ni fantasy. Fetish ni kuhusu kiungo Cha mwili ambacho kikawaida hakihusiki na ngono. Mfano miguu, vidole! Mtu anataka anyonywe kidole au aingize kidole kwenye mdomo wa demu etc
Mbona hujazungumzia sura?
Mimi nilioa flat ila ana sura nzuri sana.
Ila nashangaa baada ya watoto wawili amepata shepu ushwara! Sijui ni kunenepa au nini
Tahadhari ni muhimu. Unapovuka Barabara utaacha kuangalia usalama kisa Mungu akiamua utaenda tu?
Sisi wenye watoto under 5 joto likipanda usipokua na dawa ya kulishusha linaweza kwenda na mtoto utasema ni Mungu? Wakati ukimpa dawa ya kushusha mnafuka hospital vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.