Ukiacha huo mfano, watu wa kijani wanatenda sana jinai na wanaachwa! This is very sad kuwa na selective justice and double standard. Japo two wrongs does not make right, ni hatari watu wawili kutenda kosa linalofanana halafu anashitakiwa mmoja. Hata nyumbani ukiwabagua watoto hawatakuelewa
Sio hivyo, Kuna maeneo nimefeli kwani nilianza kazi nikiwa na miaka 26.
Sasa napambana nihamie kwenye gofu langu hapo Msumi. Baada ya mwaka nitafanikisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.