Muyabi colors
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 2,690
- 3,841
Check hapo juu🙌😂🤣
Pesa Ina roho bank wanaelewa Hilo ndo maana wamejizatitiSiamini kama kuna ushirikina kwenye pesa, huko bank cashier wangepigwa sana.
Skonyo za kitaaView attachment 3610669
Check hapo juu🙌😂🤣
Nyinyi ambao hamwamini ndio watam kwakua kila mkitendewe mnaona ni bahati mbaya tu kumbe mnachezewa.Siamini kama kuna ushirikina kwenye pesa, huko bank cashier wangepigwa sana.
ChaiView attachment 3610669
Check hapo juu🙌😂🤣
Nawe kila likikupata jambo unaamini umechezewa unaenda kutoa pesa kwa mganga kumbe unapigwa tu.Nyinyi ambao hamwamini ndio watam kwakua kila mkitendewe mnaona ni bahati mbaya tu kumbe mnachezewa.
Sijaelewa kitu🫢Basi, nitahesabu mara 1 nipate hasara ya 5% kisha nifiche bila kurudia hadi nipate wa kumwachia mzigo... Bank, kwa wakala au kwa muuzaji ili nae ahesabu ili kama itapungua tena 5% nimwambie sawa kisha niokoe 90% ya hela yangu.
Kwaakili zangu za tamaa nitataka ng'ombe wa milioni 20 nimuuze kwa milioni 2 na laki 1 ili kufidia hasara itakayosababishwa na washirikina wa mnadani 😄
Kipenzi Seran nipo sahihi au nimeshalamba kilambo?
Yani kila ukihesa zinapungua kwa 5%Sijaelewa kitu🫢
Hebu ngoja hangover itoke mkuu sioni vizuri😵💫Yani kila ukihesa zinapungua kwa 5%
Usimalize manenoNawe kila likikupata jambo unaamini umechezewa unaenda kutoa pesa kwa mganga kumbe unapigwa tu.