Mkuu mbona unashindwa kujiamini au kuwaamini wanachadema wenzako kwa hiyo tuseme huna Imani na Msigwa?
Ama Kweli kwa maneno yako basi Chadema inasikitisha kwann unamuamini Lisu tu, na hawa wengine hawaaminiki? Yani wanachadema wenyewe hawaaminiani duuh kazi ipo
pujo
Hii sasa ndo Democrasia ndani ya chama hii ndio taasisi, sio chama kile kwa jina nahifadhi,kinakuwa chini ya mtu mmoja( mtu mmoja ana ushawishi ndani ya chama),haina tofauti na Timu ya Azam inamililiwa na mtu mmoja(mtu mmoja ana ushawishi),maamuzi ya mtu mmoja yana nguvu badala ya watu wengi...
Ungejua gharama ya mke hata usinejaribu kufanya uovu ka!a huo, Mkuu najua ulijikwaa mara ya kwanza basi nakuomba uachane na mke wa jamaa assume ungekuwa Wewe ndo mwenye mke ingekuwaje au ungejisikiaje hayo maumivu?
pujo
Mkuu nimesoma tu Title yako,kifupi ni kwamba hebu jitaidi basi umuoe ndo utafute huo sijui ndo mzigo kwanza unakosa adabu utaitaje viungo vya uzazi mzigo?
Uasherati ndo mlishaonaga dili sana, nakushauri achana nae kama huna Mpango wa Kumuoa na ukipata mwingine basi muoe ili upate huo mzigo.
pujo
Nilivyoso!a Title tu,
Uzi kama huu ni Wale wahanga wa mahusiano waliokosea au wazinzi au walifeli limahisiano na wakidhani ndoa ni sex tu,kumbe ndoa ni zaidi ya sex Ndoa ni Maisha ya Kiroho.
pujo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.