Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,960
Huyu mdada tunafanya naye kazi yaani namshuhudia anaolewa tena harus yake sikuchanga na kadi alinipa na nikahudhuria vizuri tu
Huyu dada ananipendaga tu nishamla mara1 tu ana mtoto m1 amezaa na jamaa ila sasa kwa jinsi urafiki wetu ulivyo nikwamba ni mimi ndiye namkwepa ila huyu dada ananipenda vibaya mno yaani ni mimi ndio naheshimu ndoa yake. Leo ananambia eti nimpe mtoto m1 anaongeaga kimasihara lakini si kawaida yani, ni mke wa mtu, actualy hiyo kauli ilimtoka baada ya kukiss naye
Anasema anataka waongeze mtoto m1 na bwana wake hapo hapo na mimi ananambia maneno mengine.
Roho yangu unasita kumla tena naogopa, ananambia hata week hii nikitaka ananipa, sasa dah
Sijui nimle ila mambo ya wake za watu haya na wanawake wasivojua kuvunga wakichepuka si anantaftia balaa huyu
Huyu dada ananipendaga tu nishamla mara1 tu ana mtoto m1 amezaa na jamaa ila sasa kwa jinsi urafiki wetu ulivyo nikwamba ni mimi ndiye namkwepa ila huyu dada ananipenda vibaya mno yaani ni mimi ndio naheshimu ndoa yake. Leo ananambia eti nimpe mtoto m1 anaongeaga kimasihara lakini si kawaida yani, ni mke wa mtu, actualy hiyo kauli ilimtoka baada ya kukiss naye
Anasema anataka waongeze mtoto m1 na bwana wake hapo hapo na mimi ananambia maneno mengine.
Roho yangu unasita kumla tena naogopa, ananambia hata week hii nikitaka ananipa, sasa dah
Sijui nimle ila mambo ya wake za watu haya na wanawake wasivojua kuvunga wakichepuka si anantaftia balaa huyu