Sehemu zikiwa planned ni rahisi kuwa safi angalia Masaki.
Eneo kama Kigogo,Manzese,Vingunguti nk zinaanzaje kuwa safi ? Sababu nyumba zenyewe zilivyo ni uchafu.
Ogopa jamii ambayo Kila eneo wanataka kuweka cargo, garage,Genge,vibanda vya pesa nk
Nchi ambayo open spaces zinauzwa na mamlaka.
Mtoto akiwa mdogo hasa wa kiume ile unamnyanyua alafu akakojokea huwa inaleta raha furani ya ajabu sana.
But yule kijana marehemu wa pale Kagera ni mpumbavu sana
Kwenye huu Uzi Kuna tatizo Moja la uelewa Kuna watu wanataka mfumo wa nchi za Magharibi ndo uwe applied sehemu zote,Mchina kuwa na mfumo wao kwao ndo wanaona ndo bora na umeleta matokeo hivyo hivyo Kwa nchi za Ulaya.Kama binadamu hatufanani basi hata vitu vya kuendesha uchumi haviwezi kuwa na...
Ukifika wanaanza kufurahia huku wakikuambia Kuna vitu vimechea,wewe unatoa pesa ili mahitaji yawepo.kumbe ndo umepalilia moto ukuwakie bila kujua,wengine usiku huo huo huja kukusalimia ulipo lala kuona una kinga au upo upo kama white paper.
Kwenye misiba pia ni eneo la watu kujua nani kajipata na nani bado ni mnywa maji ya kandoro.
Wengine ndo huanza kupiga simu wapi watampa mtaalamu ili kushughulikia wewe mwenye maendeleo kuliko wao.
Hizo paper sio za kusoma sana,maana unaweza soma mpaka nukta alafu unakutana na "Not selected for oral interview"
Mwambie vituo ni KIU,TIA nk Kwa wale wa Dar
Kuna mengi ya kujifunza katika historia ya taifa letu,naomba kuuliza swali moja kwako kwanini mwalimu aliamua kufuta historia ya wazee walio jitolea kupambana katika harakati za kudai uhuru ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.