Recent content by The Memory

  1. T

    Kwanini majiji yetu Tanzania hatuwezi kuyafanya yawe masafi kama Kigali?

    Sehemu zikiwa planned ni rahisi kuwa safi angalia Masaki. Eneo kama Kigogo,Manzese,Vingunguti nk zinaanzaje kuwa safi ? Sababu nyumba zenyewe zilivyo ni uchafu. Ogopa jamii ambayo Kila eneo wanataka kuweka cargo, garage,Genge,vibanda vya pesa nk Nchi ambayo open spaces zinauzwa na mamlaka.
  2. T

    Unapenda watoto?

    Mtoto akiwa mdogo hasa wa kiume ile unamnyanyua alafu akakojokea huwa inaleta raha furani ya ajabu sana. But yule kijana marehemu wa pale Kagera ni mpumbavu sana
  3. T

    Je, ulijua kati ya Benki 5 kubwa duniani 4 ni za China? Benki za Marekani zikifuata nyuma ya China

    Kwenye huu Uzi Kuna tatizo Moja la uelewa Kuna watu wanataka mfumo wa nchi za Magharibi ndo uwe applied sehemu zote,Mchina kuwa na mfumo wao kwao ndo wanaona ndo bora na umeleta matokeo hivyo hivyo Kwa nchi za Ulaya.Kama binadamu hatufanani basi hata vitu vya kuendesha uchumi haviwezi kuwa na...
  4. T

    Undugu wetu, uendelee tu kukutana kipindi cha misiba tu?

    Ukifika wanaanza kufurahia huku wakikuambia Kuna vitu vimechea,wewe unatoa pesa ili mahitaji yawepo.kumbe ndo umepalilia moto ukuwakie bila kujua,wengine usiku huo huo huja kukusalimia ulipo lala kuona una kinga au upo upo kama white paper.
  5. T

    Undugu wetu, uendelee tu kukutana kipindi cha misiba tu?

    Mtu mweusi hapendi kuona mafanikio ya mwingine wakati yeye hata kupata mlo ni shida,utaumizwa vibaya sana na ndugu zako haswa kwenye ushirikina
  6. T

    Undugu wetu, uendelee tu kukutana kipindi cha misiba tu?

    Kwenye misiba pia ni eneo la watu kujua nani kajipata na nani bado ni mnywa maji ya kandoro. Wengine ndo huanza kupiga simu wapi watampa mtaalamu ili kushughulikia wewe mwenye maendeleo kuliko wao.
  7. T

    Undugu wetu, uendelee tu kukutana kipindi cha misiba tu?

    Jambo hilo ni nzuri lakini Kwa mtu mweusi ni jambo la kutembea Kwa watu kama Mshana Jr
  8. T

    Nafasi za Kazi Ajira Portal

    Hizo paper sio za kusoma sana,maana unaweza soma mpaka nukta alafu unakutana na "Not selected for oral interview" Mwambie vituo ni KIU,TIA nk Kwa wale wa Dar
  9. T

    Kwasasa ni Arsenal na Chadema ndiyo Habari ya mjini,Nyie wengine subirini kwanza!

    Nje na mada mwanao Seif ,pale kirando kafariki mwaka huu.
  10. T

    Nafikiria sehemu ya kwenda kurelax hakuna

    Mipango miji tu ni kasheshe ndo tutaweza mambo ya open space? Jiji la Dar ni kama hell.
  11. T

    Mwanaume, jitahidi kunyandua vizuri

    Kupata maendeleo hii nchi ni ngumu sana.Leo ni siku ya Dominica lakini watu wanawaza uhuni tu.
  12. T

    Nchi yangu Tanzania haina tena THINK TANKS wa muelekeo wa kiuchumi, ni bora liende!

    Kuna mengi ya kujifunza katika historia ya taifa letu,naomba kuuliza swali moja kwako kwanini mwalimu aliamua kufuta historia ya wazee walio jitolea kupambana katika harakati za kudai uhuru ?
  13. T

    Kiukweli hawa watu ni watamu kinoma

    Uzuri manesi ni wanawake wenzako au Huwa mnaoneana aibu mkuu!?
Back
Top Bottom