Kuna mengi ya kujifunza katika historia ya taifa letu,naomba kuuliza swali moja kwako kwanini mwalimu aliamua kufuta historia ya wazee walio jitolea kupambana katika harakati za kudai uhuru ?
Mheshimiwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) Dr. Mwigulu Nchemba.
Kwa heshima na taadhima napenda kuchukua nafasi hii adhimu kukupa pole, katika kutekeleza majukumu yako ya kila siku, kulitumikia taifa letu la Tanzania, ili liweze kupiga hatua kubwa katika maendeleo yanayo...
Mzee huwa yuko mbele ya muda sana hata kule IF aliwaambia mashabiki wa USA na Israel kuhusu mgogoro huo na athari za kupanda gharama za maisha,Leo hii nauli na bidhaa ziko juu na kipato ni kile kile
Kwa sasa bora wafike kwenye Suluhu maana athari ya vita tumesha anza kuona hata sisi ambao mgogoro hautuhusu.
Risasi haiwezi kuwa Suluhu pekee ya tatizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.