Recent content by The Memory

  1. T

    JamiiForums Tanzania Nafikiria sehemu ya kwenda kurelax hakuna

    Mipango miji tu ni kasheshe ndo tutaweza mambo ya open space? Jiji la Dar ni kama hell.
  2. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume, jitahidi kunyandua vizuri

    Kupata maendeleo hii nchi ni ngumu sana.Leo ni siku ya Dominica lakini watu wanawaza uhuni tu.
  3. T

    JamiiForums Tanzania Nchi yangu Tanzania haina tena THINK TANKS wa muelekeo wa kiuchumi, ni bora liende!

    Kuna mengi ya kujifunza katika historia ya taifa letu,naomba kuuliza swali moja kwako kwanini mwalimu aliamua kufuta historia ya wazee walio jitolea kupambana katika harakati za kudai uhuru ?
  4. T

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu asema Serikali imejipanga kujenga jengo lenye hadhi ya kimataifa Airport ya Mwanza

    Ni jambo jema na nzuri Kwa maendeleo ya taifa.
  5. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiukweli hawa watu ni watamu kinoma

    Uzuri manesi ni wanawake wenzako au Huwa mnaoneana aibu mkuu!?
  6. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa shesrise_1

    ShesRise_1 na Seran naona humu ndani Kila mtu anawatolea macho,kama mamba mwenye njaa Kali kamuona 🐕
  7. T

    JamiiForums Tanzania Ombi langu kwa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba

    Nitaufanyia kazi ushauri wako mkuu 🙏
  8. T

    JamiiForums Tanzania Ombi langu kwa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba

    Nawaza tu Hawa waheshimiwa Huwa Wana jibu PM kweli ? bila wao kusema ifanye hivyo ?
  9. T

    JamiiForums Tanzania Ombi langu kwa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba

    Mkuu Sija zungumzia uchaguzi.
  10. T

    JamiiForums Tanzania Ombi langu kwa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba

    Mheshimiwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) Dr. Mwigulu Nchemba. Kwa heshima na taadhima napenda kuchukua nafasi hii adhimu kukupa pole, katika kutekeleza majukumu yako ya kila siku, kulitumikia taifa letu la Tanzania, ili liweze kupiga hatua kubwa katika maendeleo yanayo...
  11. T

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba saba ndani ya eneo moja zinauzwa (mil 59) ukonga Mombasa

    Ya dalali ni kiasi gani ?
  12. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Chama cha Wamiliki wa Malori Tanzania, Mawakala wa Forodha: Tunaingia hasara kubwa kwa ucheleweshwaji wa makontena(demurrage) bandari ya Dar

    Mzee huwa yuko mbele ya muda sana hata kule IF aliwaambia mashabiki wa USA na Israel kuhusu mgogoro huo na athari za kupanda gharama za maisha,Leo hii nauli na bidhaa ziko juu na kipato ni kile kile
  13. T

    JamiiForums Tanzania Series gani uliwahi kuangalia na hutamani Tena?

    Iris 2
  14. T

    JamiiForums Tanzania Askofu Yvette Flunder, kiongozi mkuu wa kanisa amezua mjadala mzito

    Mbona simple yeye na wafuasi wake waandike agano lao la tatu, na walitumie wao.
  15. T

    JamiiForums Tanzania The New York Times: Vita inaligeuza taifa la Iran kuwa kubwa duniani

    Kwa sasa bora wafike kwenye Suluhu maana athari ya vita tumesha anza kuona hata sisi ambao mgogoro hautuhusu. Risasi haiwezi kuwa Suluhu pekee ya tatizo.
Back
Top Bottom