Recent content by The Lisova

  1. The Lisova

    Kwanini netanyahu amefunika lenzi za kamera kwenye simu yake?

    Kupunguza huo usumbufu si wamtengenezee isiyo na kamera??
  2. The Lisova

    Wajue watu hawa wenye IQ kubwa walioamua kuwa Wakristo

    Pole, BWANA YESU akusaidie uwe na akili huru!!
  3. The Lisova

    Wajue watu hawa wenye IQ kubwa walioamua kuwa Wakristo

    Wafilipi 2:10-11 [10]ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; That at the name of Jesus every knee should bow, of things in heaven, and things in earth, and things under the earth; [11]na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA...
  4. The Lisova

    Kufungua makanisa ya Gwajima ni kuchezea moto unaoweza kuliteketeza taifa

    Kobazi >> Kubasi >> Sandals >> open shoes >> mpito wa jangwani >>??? Au ni tofauti ???
  5. The Lisova

    Kama ingetokea watu wakamuamini Nuhu au nusu yao tu je safina ingetosha kuwabeba watu wote Dunia nzima?

    Kama watu wote wange tubu na kuacha uovu wao MUNGU asingeleta gharika, angeghairi kama alivyofanya kwa Ninawi kwenye kitabu cha Yona
  6. The Lisova

    Kwanini Waislamu wengi wanaota ndoto za Yesu huko Mashariki ya Kati?

    Hata uki search 'More than a dream' utapata hizo testimonies. Na hizo siyo ndoto za kawaida, ni MUNGU mwenyewe anashughulika na watu wake, anawajua walio wake. Lakini pia ujue kuna watu wana mioyo ya jiwe bila YESU mwenyewe kuingilia kati ni ngumu sana kuokoka! Hivi ulishawaza mtu kama Mtume...
  7. The Lisova

    Nauza vitabu hivi kwa lugha ya kiswahili

    Umevitafsiri wewe mwenyewe?
  8. The Lisova

    Katika hizi kauli 3 kila mtu achague ya ukweli ni ipi kwangu ni 3.

    Kaka umeokoka? Majibu yako na ujumbe wako vimenyooka sana!
  9. The Lisova

    5bedrooms mansion with 210m estimate up to roofing stage

    OK, na mpaka kukamilika inaweza kuwa ngapi?
  10. The Lisova

    5bedrooms mansion with 210m estimate up to roofing stage

    210m ni mpaka roofing? Siyo kukamilika nyumba yote? Yaani full finishing.
  11. The Lisova

    Wanawake, jipambeni kwa mavazi ya kusitiri mwili

    MUNGU akubariki sana sana!! akutumie zaidi katika ulimwengu wa sasa uliojaa dhambi kuwafungua wengi waliofungwa na shetani.
Back
Top Bottom