Recent content by The Lisova

  1. The Lisova

    JamiiForums Tanzania Hii video huwa inanifikirisha sana

    Hiyo video ilisambaa sana mwaka jana wakati wa sikukuu za mwisho wa mwaka. Ukikutana na wahitaji halisi usisite kuwasaidia, hasa watoto. Maisha ni magumu sana kwa walio wengi. Mshukuru MUNGU kama una uhakika wa kupata mlo kamili wa siku.
  2. The Lisova

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Garage nzuri ya Mercedes

    Uko sahihi!! Mimi niliacha mahali fulani karibu 3m kizembe sana kwa mtindo huohuo wa mafundi kulazimisha matengenezo ambayo hayakuwa kwenye mpango.
  3. The Lisova

    JamiiForums Tanzania Malisa: Polisi hawajatuachia kwa dhamana kama walivyosema, wala sijahojiwa kwa tuhuma za jinai

    Nimecheka sana peke yangu! Watu mnamisemo sana!
  4. The Lisova

    JamiiForums Tanzania Walokole ni kundi maalum

    Huyu siyo mlokole, Usichanganye ulokole na imani nyingine kama hizi.
  5. The Lisova

    JamiiForums Tanzania Tupatie mwanao tumfundishe na kumjengea uwezo mkubwa

    Mpo mkoa gani?
  6. The Lisova

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa sungura

  7. The Lisova

    JamiiForums Tanzania Samaki Ladha nzuri na ya kuvutia

    Ni swali la msingi japo kauliza kwa lugha ya maskhara kidogo, hao samaki wataokwa, watakaangwa au watachemshwa?
  8. The Lisova

    JamiiForums Tanzania Kwanini netanyahu amefunika lenzi za kamera kwenye simu yake?

    Kupunguza huo usumbufu si wamtengenezee isiyo na kamera??
  9. The Lisova

    JamiiForums Tanzania Wajue watu hawa wenye IQ kubwa walioamua kuwa Wakristo

    Pole, BWANA YESU akusaidie uwe na akili huru!!
  10. The Lisova

    JamiiForums Tanzania Wajue watu hawa wenye IQ kubwa walioamua kuwa Wakristo

    Wafilipi 2:10-11 [10]ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; That at the name of Jesus every knee should bow, of things in heaven, and things in earth, and things under the earth; [11]na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA...
  11. The Lisova

    JamiiForums Tanzania Kufungua makanisa ya Gwajima ni kuchezea moto unaoweza kuliteketeza taifa

    Kobazi >> Kubasi >> Sandals >> open shoes >> mpito wa jangwani >>??? Au ni tofauti ???
  12. The Lisova

    JamiiForums Tanzania Kama ingetokea watu wakamuamini Nuhu au nusu yao tu je safina ingetosha kuwabeba watu wote Dunia nzima?

    Kama watu wote wange tubu na kuacha uovu wao MUNGU asingeleta gharika, angeghairi kama alivyofanya kwa Ninawi kwenye kitabu cha Yona
  13. The Lisova

    JamiiForums Tanzania Kwanini Waislamu wengi wanaota ndoto za Yesu huko Mashariki ya Kati?

    Hata uki search 'More than a dream' utapata hizo testimonies. Na hizo siyo ndoto za kawaida, ni MUNGU mwenyewe anashughulika na watu wake, anawajua walio wake. Lakini pia ujue kuna watu wana mioyo ya jiwe bila YESU mwenyewe kuingilia kati ni ngumu sana kuokoka! Hivi ulishawaza mtu kama Mtume...
  14. The Lisova

    JamiiForums Tanzania Nauza vitabu hivi kwa lugha ya kiswahili

    Umevitafsiri wewe mwenyewe?
  15. The Lisova

    JamiiForums Tanzania Katika hizi kauli 3 kila mtu achague ya ukweli ni ipi kwangu ni 3.

    Kaka umeokoka? Majibu yako na ujumbe wako vimenyooka sana!
Back
Top Bottom