Kwanini netanyahu amefunika lenzi za kamera kwenye simu yake?

Kwanini netanyahu amefunika lenzi za kamera kwenye simu yake?

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
10,717
Reaction score
33,987
20260222_103428.png


Sticker nyekundu hizo husaida kufunika lens ili isifanikiwe kuchukua picha endapo pale atakapopiga picha kimakosa hasa nakala nyeti na za usiri ukubwa.

Endapo hata simu yake itakapokuwa hacked na mdudu wa kupiga picha bila yeye kutambua itakutana na lens iliofunikwa thus kushindwa kufanikisha.
 
View attachment 3547145

Sticker nyekundu hizo husaida kufunika lens ili isifanikiwe kuchukua picha endapo pale atakapopiga picha kimakosa hasa nakala nyeti na za usiri ukubwa.

Endapo hata simu yake itakapokuwa hacked na mdudu wa kupiga picha bila yeye kutambua itakutana na lens iliofunikwa thus kushindwa kufanikisha.
Kupunguza huo usumbufu si wamtengenezee isiyo na kamera??
 
Si ndiyo vizuri akawa na simu yenye kupiga picha? Maana yeye ndiye kiongozi mkuu mwenye kuhitaji taarifa nyingi awe nazo kwenye simu yake, mbona kama wanamzuia asipige picha anachokitaka wakati yeye ni bosi mkubwa?
 
Hata mimi simu yangu nimeiwekea lens kama ya Netanyahu! hakuna mdukuzi anayeweza kudukua simu yangu na akafanikiwa kupiga picha.
 
View attachment 3547145

Sticker nyekundu hizo husaida kufunika lens ili isifanikiwe kuchukua picha endapo pale atakapopiga picha kimakosa hasa nakala nyeti na za usiri ukubwa.

Endapo hata simu yake itakapokuwa hacked na mdudu wa kupiga picha bila yeye kutambua itakutana na lens iliofunikwa thus kushindwa kufanikisha.
swali la kizushi, hivi anatumia simu ya kampuni gani?
 
Sikuhizi Samsung ina logo ya apple kumbe?
Ukifatilia hizo picha utaona ameshika aina mbili tofauti za simu, moja Ina iyo logo ya apple na Ile aliosimama kwenye gari ndio itakua Samsung kama jamaa alivyosema
 
Hao ndio mababa wa ye teknolojia kwa hiyo wanajua wanachokifanya
 
Kwa ajili ya usalama kwa kutokutoa taarifa zake ni rahisi kujua alipo kupitia camera ya simu na akadunguliwa wanaunga GPS kwa kutumia Camera ya simu unayotumia unatumiwa drone..
 
Back
Top Bottom