Recent content by The Legacy

  1. The Legacy

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Weeee naeda kusema kwa mama yangu mzazi,unipige kwenzi ?🏃🏿‍♂️
  2. The Legacy

    Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Kuna fail langu watakua wamebeba huko.
  3. The Legacy

    Msaada wa kisheria kuwapata watoto baada ya kuhitilafiana na baba yao

    Niwape story fupi labda dada huyu atajifunza kitu. Nilikua na mchumba,nilimtafutia kazi ofisini kwangu,nikamfundisha kazi,nikamuoa ndoa ya kanisani. Tukazaa watoto wawili ,Akahama kazi,akapata mshahara mkubwa kiasi, Akaanza kiburi,nikibadiri gari na yeye anataka nimbadirishie, Nilitimiza...
  4. The Legacy

    Msaada wa kisheria kuwapata watoto baada ya kuhitilafiana na baba yao

    Huyu dada kuna kitu hasemi na atajichanganya tu.Atanywea kikombe anachotengeneza kwa uchungu sana.
  5. The Legacy

    Msaada wa kisheria kuwapata watoto baada ya kuhitilafiana na baba yao

    Mimi nakuonya tu ni bora kutumia Busara kuliko kutumia hasira, 1.Vita ni watoto 2.Vita ni uchumi. Ukisha shinda hii vita itaanzisha vita nyingine ambayo ni kutaka baba watoto wako aanguke kiuchumi. Una uhakika ulikua muaminifu kwenye ndoa yako? Ulienda kukaa nje na mumeo kwa muda gani ukapata...
  6. The Legacy

    PreGE2025 Diamond Platnumz: Fanyeni kazi, acheni lawama, kila awamu, kila uongozi mnalalamika

    Hakuna biashara chafu,kama zipo fanya na wewe upate pesa
  7. The Legacy

    PreGE2025 Diamond Platnumz: Fanyeni kazi, acheni lawama, kila awamu, kila uongozi mnalalamika

    Ni akili zenu Maskini mkiambiwa ukweli mnalalamika mmesemwa
  8. The Legacy

    Ndoto niliyoota leo

    Acha waje waona ndoto wakusanue
  9. The Legacy

    Mnasifia mapera mnajua muziki wa wali mkavu.?

    Kidume unapikia wali kweye gesi unasema msoto
  10. The Legacy

    Zamani tulipanga foleni kupata huduma hizi

    Na kuna kipindi ulipangiwa kiwango cha kununua, mwisho kilo kadhaa
  11. The Legacy

    Kulikoni Mbona Kampeni za mwaka huu zimedoda sana

    Mmejitengenezea wakosoaji wawe CHAUMA na UPDP
Back
Top Bottom