Niwape story fupi labda dada huyu atajifunza kitu.
Nilikua na mchumba,nilimtafutia kazi ofisini kwangu,nikamfundisha kazi,nikamuoa ndoa ya kanisani.
Tukazaa watoto wawili
,Akahama kazi,akapata mshahara mkubwa kiasi,
Akaanza kiburi,nikibadiri gari na yeye anataka nimbadirishie,
Nilitimiza...
Mimi nakuonya tu ni bora kutumia Busara kuliko kutumia hasira,
1.Vita ni watoto
2.Vita ni uchumi.
Ukisha shinda hii vita itaanzisha vita nyingine ambayo ni kutaka baba watoto wako aanguke kiuchumi.
Una uhakika ulikua muaminifu kwenye ndoa yako?
Ulienda kukaa nje na mumeo kwa muda gani ukapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.