HOLY SKANKA
JF-Expert Member
- Dec 30, 2025
- 796
- 1,377
Ngoja Nimalizie Hii,,,Then Nitakuja Na Maoni,,Maono,,,Mitazamo Na Fikra Zangu Kuhusu Hii Mada.....
Kwanini unasisitiza wanaume wenzio wapendeze? Unataka kuwapa Chivundu?Hajapangiwa mtu maisha. Ndo maana sijamkataza. Ila pia nisipangiwe kutoa maoni. Maana hajavaa in privacy.
Ndo maana nikasema #upo Sahihi mkuu ni maoni yako sijaHajapangiwa mtu maisha. Ndo maana sijamkataza. Ila pia nisipangiwe kutoa maoni. Maana hajavaa in privacy.
fasion nyingi zmenipita ujana wangu, sikua mtu wa fasion kabsa.Kuna fashion... Acha zipite. Kuna mitindo au mambo yaache yapite. Ukiwa na umri wa kuanzia 30s na kuendelea unatakiwa ukue kiakili pia na kimtizamo.
Uvaaji flani unaweza kufanya watu wakuone haupo serious. Una ushamba mwingi au ulimbukeni. Mtu mzima kabisa unaweza vaa hivi? Ni utoto na ushamba.
View attachment 3598366
Mtu anapewa anachoomba. Umeomba aftatu tuAanh tajiri huoni aibu kutumia mwanamke ef 3? Jiongeze basii..
Tafuta hela
Sasa kwani ndio kama unavyoiona, kwani mtu akisema kilo3 au mia3 unaelewaje?Mtu anapewa anachoomba. Umeomba aftatu tu
Wrap sports sunglasses hizi mkuu,Punguza ushamba weweKuna fashion... Acha zipite. Kuna mitindo au mambo yaache yapite. Ukiwa na umri wa kuanzia 30s na kuendelea unatakiwa ukue kiakili pia na kimtizamo.
Uvaaji flani unaweza kufanya watu wakuone haupo serious. Una ushamba mwingi au ulimbukeni. Mtu mzima kabisa unaweza vaa hivi? Ni utoto na ushamba.
View attachment 3598366
Wrap sports sunglasses hizi mkuu,Punguza ushamba wewe
Una hamu ya kuchezewa matutu yako....Nguo zenyew unanunuliwa na shemej ako ety una hela amnag chz mweny maarifa mbwa ni mbwa at awe China