Naomba nieleweshwe kwa kwa upole

Naomba nieleweshwe kwa kwa upole

Afisa_Nkai

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2025
Posts
494
Reaction score
1,046
Natumai huu uzi utawakuta mkiwa katika hali ya utulivu huku mkinzigatia nature na life la kiturist.

Moja kwa moja kwenye mada, Inawezekanaje Leseni ya Udereva ya Tanzania inayotambulika na SADC kutumika Nchi za East Africa na Nchi za pembeni haitambuliki Zanzibar? Au sijaelewa vizuri mnieleweshe kwa anaejua ?

Hii imekaaje
 
Kwa nchi za East Africa naweza kusema issue ipo kwenye uhusiano wa kimataifa.

Kwa Zanzibar ni yale yale tu yanayoendelea kufanyika (kubaguana) kwa kuleteana sababu za kijinga jinga zisizo na mantiki.
 
Kakisiwa kaduchu kama chululu ya mtoto mng'aa kanatupanda kicwani
20260612_131804.jpg
 
Sisi wenyewe tuanze kujitambulisha km wa Tanganyika tuache kutumia Tanzania km wao wanavyojitambulisha wa Zanzibar. Ndiyo maana wanatuona mabwege
Comment yako ina mashiko.

'Tanzania' ibakie kimataifa huko, lakini sisi tujiite Watanganyika dhahiri bila kuuma uma maneno, kama ambavyo upande wa pili wanavyojiita Wazanzibari kwa bashasha na wivu mkubwa!
 
Comment yako ina mashiko.

'Tanzania' ibakie kimataifa huko, lakini sisi tujiite Watanganyika dhahiri bila kuuma uma maneno, kama ambavyo upande wa pili wanavyojiita Wazanzibari kwa bashasha na wivu mkubwa!
Hilo ndiyo swala la msingi sana maana hata wao akili itawakaa sawa watajua sasa Muungano imekaa mguu sawa. Na iwe agenda ya kujitambulisha ktk vikao vya Gov na vyama vya siasa.
Mimi ni mtanganyika
 
Back
Top Bottom