Recent content by The lastborn9319

  1. The lastborn9319

    JamiiForums Tanzania Nimefika Moshi nimezunguka club zote maarufu toka juzi hakuna warembo kwenye club zao

    Dah,yan nimefika Moshi nimezunguka club zote maarufu toka juzi Moshi pazuri,grand nolasco,redstone,amuz,..lakini club hazina pisi wala nini..yan tunawashinda, hata Njombe,nenda club zetu nenda Mwechimupya,nenda Emirates makambako,nenda sundowns,HD,unakutana na pisi kali..nenda mwendo wa ngiri...
  2. The lastborn9319

    JamiiForums Tanzania Nikionaga kijana kavaa haya maviatu

    Tulia ma mtu kuna mchongo nausikilizia ukitiki tu utapiga pamba Kali na nywele Kali..🤣🤣🤣..hapo ashakula vitu vyake,na ukimsachi mifukoni unakuta mikeka kama yote kamuua man u,arsenal,kaweka jero mkeka unasoma milioni 24 dadeki🤣
  3. The lastborn9319

    JamiiForums Tanzania Madeni yamenizidi sababu ya uraibu wa kubeti, sijui cha kufanya nisaidieni

    Naichukua hii itanisaidia kwa sababu case yako ni kama yangu tu bro nadaiwa kiasi ambacho kwa sasa sina uwezo wa kulipa hadi mwezi wa tano..sasa nawaza sijui niwaweke wazi wanaonidai,sijui watanielewa
  4. The lastborn9319

    JamiiForums Tanzania Nikionaga kijana kavaa haya maviatu

    Unyama mwingi ma mtu...wahuniiiiiiiiiiii wa mbagalaaa
  5. The lastborn9319

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana unaetaka kuanzisha familia kwa mara ya kwanza, achana na single mother

    Usioe single maza,utakuja kunishukuru baadae
  6. The lastborn9319

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wanaipenda pombe?

    Mwaka juzi nilikuwa napiga hiyo kitu,afu nipo nyumba ya kupanga..kila siku napata kesi kwa wife🤣🤣😃 Anyway,mimi mtu asiyekunywa pombe simfagilii kabisa,na kama hakuna namna ya kumkwepa huwa naongeza umakini sana ninapokuwa naye..jamaa wanakuwaga jau sana wambea wambea,wanafiki,kufuatilia maisha...
  7. The lastborn9319

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wanaipenda pombe?

    Jagger ukipiga afu uende toilet ni balaa hiyo smell yake🤣🤣🤣
  8. The lastborn9319

    JamiiForums Tanzania Kuadimika kwa bia mkoani Mbeya

    Hiyo guiness stout ni bia tamu sana mkuu
  9. The lastborn9319

    JamiiForums Tanzania Mada Maalumu Ya Walevi: Kwanini Unakunywa Pombe(Mlevi)?

    Hakuna starehe kama ukiagiza serengeti lager 2 baridiii na kitimoto nusu huku dj akigusa rhumba kwa mbaaali aah... anyway kimenuka now time G7 tabata kifuru
  10. The lastborn9319

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wa haraka wadau wa lugha

    Unda neno la kiswahili lenye mchanganyiko huu wa herufi LOKEITAPA
  11. The lastborn9319

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    80KPH KIBORILONI
  12. The lastborn9319

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Good/Nice guys finish last

    Ukiwa nice, afu mpo kwenye taasisi flani yenye mademu wengi, unaweza ukala wote kimya kimya.. mi kazini ni mpole sana,kakaja kademu flani kapya watu wanapambana kujishobokesha.. mara ooh mtu mpole anaboa sijui nini, jumamosi iliyopita nimekala na hajui kama mademu wote wa pale kazini nishapita...
  13. The lastborn9319

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    nipo kijiwe flan..faya tess ana macho ka ya mama.. dah aiseeee!
  14. The lastborn9319

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Njia panda ya himo
Back
Top Bottom