Kuadimika kwa bia mkoani Mbeya

Kuadimika kwa bia mkoani Mbeya

Sidhani nina uzoefu mkubwa wa hiki kitu nimefanya kazi na Mzalendo Iringa pale.

Huwa inatokea Bia zinaadimika na viwanda vya TBL vinaanza kufanya mgawo wa pombe kutokana na production kuwa ndogo So labda TBL mbeya wanataka gari 400 ila matokeo yake wanapelekewa 100 ambazo hazitakidhi viwango.

Ajabu ni hapo kwa Bingwa hii inazalishwa mbeya iweje ipotee
Nikiwa nauza jumla niliambiwa hivyo na wakulungwa.
 
KUNA UKOSEFU MKUBWA SANA WA BIA AINA YA GUINNESS KATIKA MAENEO MENGI YA NCHI HUSUSANI KUSINI MWA NCHI
HAPA NAZUNGUMZIA GUINNESS STOUT NA ILE SMOOTH.
WASAMBAZAJI WA HII BIA NAFIKIRI NI SBL, TAFADHALI TAMBUENI KWAMBA MNATUTESA NA KUTUUMIZA KI HISIA SISI WATEJA WENU TULIOCHAGUA KUTUMIA KILEVI HIKI.
NAWASILISHA.
 
KUNA UKOSEFU MKUBWA SANA WA BIA AINA YA GUINNESS KATIKA MAENEO MENGI YA NCHI HUSUSANI KUSINI MWA NCHI
HAPA NAZUNGUMZIA GUINNESS STOUT NA ILE SMOOTH.
WASAMBAZAJI WA HII BIA NAFIKIRI NI SBL, TAFADHALI TAMBUENI KWAMBA MNATUTESA NA KUTUUMIZA KI HISIA SISI WATEJA WENU TULIOCHAGUA KUTUMIA KILEVI HIKI.
NAWASILISHA.
Hiyo guiness stout ni bia tamu sana mkuu
 
siku hizi malighafi zinatoka Afrika Kusini labda kuna tatizo
 
Back
Top Bottom