Kuishi karibu na ukoo wenu ni jambo la msingi sana na la kheri hasa kipindi ambacho huna mishe za kufanya kuna muda itakuhitaji kupata msaada wao wa karibu hata Kama sio wa kifedha.
Halafu wanakutaka u state a patient case as if we ni professor, usipofanya vile watakavyo utaonekana we boya, wanatumia uelewa wako kama kivuli cha kutoendelea.
Miaka ya 2018, kuna kuna pediatrician mmoja anaitwa SHOMVI MADEVU! amewatesa sana Clinical Officers waliokuwa wanasoma pale yaani hadi...
Umeshauriwa kukaa mita 1, we unaamua kukaa mita 100. Anyway acha akawasikilize walioko mita 100 kama za kwake naamini na ramani atakayopewa kuielewa ni mpaka akae mita 100 vilevile.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.