mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,200
- 1,747
Shikamoo baba na mama, natambua mna furaha iliyo kuu Sana kwa kuwa wadogo zangu wamemaliza masomo yao ya shule ya msingi.
Hivi ndivyo vitu mtakavyowaambia
Hivi ndivyo vitu mtakavyowaambia
- waambieni wasianze kuzagaa mtaani pasipo na sababu za msingi
- Waambieni wasiombe pesa kwa ajili ya kununua masimatifoni, najua mna uwezo wa kuwapa ila msiwape
- Waambieni wajifunze kazi muhimu kwa kutulia majumbani Kama vile kupika na kuosha vyombo maana hapa nilipo baba na mama, wengine hawafahamu hata kuosha vyombo
- Waambieni bado hawajakua hivyo wasijikuze maana hapa nilipo wengine wanafahamu Kuna jamiiforum na mambo ya mmu
- Mwisho natanguliza shukurani nikiamini mtawaambia salamu hizi.