Hiyo kozi itakusaidia uweze kupata ujuzi kuhusu uthamini wa ardhi na vitu vilivyo juu yake kama majengo n.k. Pia utapata elimu kuhusu utawala wa ardhi hatimaye kuwa Land Officer. Kiujumla ili kuisoma kozi hiyo kwa mafanikio inakubidi ujitoe kwa kusoma kwa bidii na kuelewa unachokisoma. Na kujua...
Kama kunatatizo ndiyo wanatakiwa walipatie ufumbuzi wa haraka.. wamezoea hata kama swala linaweza kutatuliwa ndani ya siku moja ..watajizunguusha mpaka ipite miezi mara miaka.. umungu mtu a.k.a urasimu/ukiritimba bye bye!
..kama wameamua kuungana na washika ukuta sawa! Mimi kamwe siungi mkono,, fanyeni kazi kwa bidii ili muondoke kwenye hilo kundi la kutumiwa ovyo ovyo na wanasiasa..
Hahaha wewe kijana Lembeli karudi wewe unasubiri nini!! Shtuka kataa kutumiwa na dikteta Mbowe ambaye hataki kuachia uwenyekiti wa...
Acha upotoshaji.. walianza hivyo huko wapi ilhali nchi zao hazikuwahi kubwa na uchaguzi mpaka kufikia uongozi wa uliyemtaja. Angalia huku kwetu tumekwisha fanya chaguzi kadhaa. Huyo ulioandika ni upotoshaji.. hapa Tanzania hatujawahi kuwa na dikteta na kamwe hatutarajii kuwa na dikteka. Cha...
Hivi tunaelekea wapi ..kila hatua inayochukuliwa na serikali watu wanaingiza siasa. Hata kwa hili!! Mwenye nyumba amekupa notice uondoke kwenye nyumba yake kwasababu anataka kufanya ukarabati mkubwa .. eti ukakataa ..akijakukutoa kwakutumia nguvu unalalamika.. tuache siasa kwa mambo kama haya..
Katika maelezo ya Mh. Zitto hapo juu kuna sehemu imeelezwa kuwa chama chetu yaani ACT-Wazalendo asili ya uundwaji wake ni kupinga tabia za kidikteta tulizokumbana nazo ndani ya vyama tulivyokuwemo. Tafsiri rahisi ni kwamba moja ya chama lengwa hapa ni Chadema kwani chama cha siasa alichowahi...
Hivi mpaka leo unaamini kuwa walioiharibu nchi ya Libya ni wanalibya!!! Ipo hivi hao hao wanaowatuma hawa wa kwetu ili waharibu hii nchi ndiyo hao hao waliwatumia walibya wasiowazalendo na nchi yao kutekeleza yale yanayoendelea Libya. Mh. Rais yupo sahihi kuonyesha msimamo wa kukataa hawa...
Siasa ndiyo inaendesha maisha ya kila siku.. sahihi kabisa kwakuwa viongozi wanaotuongoza wametokana na michakato ya kisiasa na wanafanya kazi zao kama viongozi wa kisiasa. Hivyo viongozi hawa jukumu lao kubwa ni kuhakikisha wanatimiza ahadi walizozitoa kwa wananchi wao tena kwa wakati. Ni vema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.