MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,920
- 6,858
Thanks bro, hapa jamvini tupo wengi! wenye depth of thinking na wide scope on issues na vululu-vululu kibao, ili mradi kapost chochote! Good eve broda.U
Umeandika vizuri sana.
Thanks bro, hapa jamvini tupo wengi! wenye depth of thinking na wide scope on issues na vululu-vululu kibao, ili mradi kapost chochote! Good eve broda.U
Umeandika vizuri sana.
Km jpm akikosolewa unavyovua nguo hapaTatizo nikuwa mnataka afanye mtakavyo ninyi
Mmejengeka vibaya sana
Mtu akiisema vibaya serikali kwenu mnamuona anafaa,
Lakini akimsema mnaemtaka mnaona hafai.
Hamjampa kazi nyie hivyo muache afanye vile anavyo on a ni sawa
Unatakiwa kufahamu kwamba Tido as a broadcast journalist hatakiwi kuonyesha political inclinations zake katika mahojiano labda kama angekuwa anatumika katika chombo ambacho ni declared wazi wazi msimamo wake wa kisiasa; kwa mfano Uhuru na Mzalendo 4 CCM au Tanzania Daima 4 CDM/UKAWA; lakini sio Azam media ambayo haijaweka wazi msimamo wake, that is the point kwamba kitaaluma sio sawa, sio kwamba Tido asiwe na uegemezi wake kisiasa la hasha.
As tym goes on uzee unaingiaNamsikiliza Tido Mhando, kama vile ni Kada wa CCM! Amenitia mshaka makubwa! Maswali yake kama ya yule kijna wa Dakika 45- Sam Mahela. Simhukumu, nasema kama vile ni kada wa CCM.
Tido anazeeka, kuhoji kwa high mental power involvement kunaelekea kupungua!
He needs to be neutral not showing a vivid inclination!
mimi nimechek clip za yale mahojiano na lowassa mbona yalikuwa fair sana, au ni sehemu gani alipozingua?Tunazungumzia weledi wa kuuliza maswali kama mwana taaluma! Ukisha kuwa biased, nitakuomba ujitoe kwenye kesi yangu kama ni mahakamani. Mahojiano ya leo kidogo yalikosa weledi tunaoujua kwa Tido!
jamaa alikuwa fair sanaTido yuko sawa, anauliza maswali yanayompa msikilizaji nafasi ya kupata majibu meengi ambayo angependa kuyasikia kwa anayehojiwa.
Hapana, siyo kuwa alikkuwa nje sana, ila kuna baadhi ya maswali alikuwa anamsifia JPM kuwa anafanya vizuri kwa nini mnampinga. Hili siyo swali unalolitegema toka kwa Tido. Anaonyesha inclination fulani kama ulimsikiliza kwa makini.mimi nimechek clip za yale mahojiano na lowassa mbona yalikuwa fair sana, au ni sehemu gani alipozingua?
Hapana Salimu Kikeke alitia fora maana hakupenda mhojiwa hata ajibu bali alitaka ajibu anavyotaka tu.Hawa tatizo hawapendi kukosolewa unakumbuka ata Salim kikeke alivomhoji jamaa akabwabwaja walisema et n CCM au katumwa?
Kwahiyo wewe ulikuwa unatakaje?Leo alikuwa biased. Basi leo ameteleza, unajua sasa hivi kuna terror, na yeye hayuko tayari ku-antogonise mwajili wake na serikali. Leo Tido amehoji chini ya kiwango tunachokijua! Hakuna na tofauti na Sam Mahela na Msigwa!
Kwa kifupi alionyesha wazi kuwa sasa JPM amemaliza kila kitu hakuna haja ya kulalamika, maandamano etc! Alikuwa anatoa maswali akiwa na majibu yake tayari na hukumu yake. Nimeeleza humuR
Kwahiyo wewe ulikuwa unatakaje?
Magufuli anafanya vizuri kwenye baadhi ya mambo mkuu kama vile madawati, ila hata kama Tido ana maoni yake kuwa anafanya vibaya bado kuna wananchi wengi wanaona anafanya vizuri, so jamaa akaamua avae ule uhusika wa wananchi wanaomuona Magufuli anafanya vizuri lakini ukawa wanaminga na kuuliza swali kwa niaba yaoHapana, siyo kuwa alikkuwa nje sana, ila kuna baadhi ya maswali alikuwa anamsifia JPM kuwa anafanya vizuri kwa nini mnampinga. Hili siyo swali unalolitegema toka kwa Tido. Anaonyesha inclination fulani kama ulimsikiliza kwa makini.
Kubali ukatae Lowasa n mweupe sana kujibu hoja za papo kwa hapo...akikutana na watu makin kama kina tido,zuhura,kikeke,maalin haruki..anapepesa modomo tu...Tz tungeingia chakibibi kama kwel tungekubal ongoza na huyu bubu.Namsikiliza Tido Mhando, kama vile ni Kada wa CCM! Amenitia mshaka makubwa! Maswali yake kama ya yule kijna wa Dakika 45- Sam Mahela. Simhukumu, nasema kama vile ni kada wa CCM.
Tido anazeeka, kuhoji kwa high mental power involvement kunaelekea kupungua!
He needs to be neutral not showing a vivid inclination!
Watanzania wa namna gani Chanchilla! Wa Kanga, kofia na t- shirts! Hawa Lenin aliwadefine vizuri kama unakumbuka theories za development za Lenin na MaxMagufuli anafanya vizuri kwenye baadhi ya mambo mkuu kama vile madawati, ila hata kama Tido ana maoni yake kuwa anafanya vibaya bado kuna wananchi wengi wanaona anafanya vizuri, so jamaa akaamua avae ule uhusika wa wananchi wanaomuona Magufuli anafanya vizuri lakini ukawa wanaminga na kuuliza swali kwa niaba yao
You might be right, but my argument is this: With the professionalism we know of Tido, today he was below standard! He was clearly biased showing vivid inclination towards government particularly JPMKubali ukatae Lowasa n mweupe sana kujibu hoja za papo kwa hapo...akikutana na watu makin kama kina tido,zuhura,kikeke,maalin haruki..anapepesa modomo tu...Tz tungeingia chakibibi kama kwel tungekubal ongoza na huyu bubu.
hao hao, ila ni watanzaniaWatanzania wa namna gani Chanchilla! Wa Kanga, kofia na t- shirts! Hawa Lenin aliwadefine vizuri kama unakumbuka theories za development za Lenin na Max
Huwa hampendi kusikia vitu hasi,hata Tanzania Daima siku likiandika ukweli mtasema limenunuliwaNamsikiliza Tido Mhando, kama vile ni Kada wa CCM! Amenitia mshaka makubwa! Maswali yake kama ya yule kijna wa Dakika 45- Sam Mahela. Simhukumu, nasema kama vile ni kada wa CCM.
Tido anazeeka, kuhoji kwa high mental power involvement kunaelekea kupungua!
He needs to be neutral not showing a vivid inclination!
ushamfanyia nani mahojiano?Najua kilichomtoa, sasa anajaribu kutubu kwa kumhoji mbaya wa CCM kuonyesha maswali ya kujikomba. Usiseme kuwa Magufuli anafanya vizuri, umeshahukumu tayari, umempa sifa tayari magufuli. muulize unaonaje utendaji wa Magufuli? This is the right question!