Recent content by The Flycatcher

  1. The Flycatcher

    Mkapa: Yote yanayosemwa juu yangu namuachia Mungu

    Ony God can judge Mkapa!
  2. The Flycatcher

    Chiligati Watanzania siyo mabwege!-Lusekelo blog

    yaleyale ya kwa Bob Mugabe!
  3. The Flycatcher

    Maswali kwa rais Kikwete na yatokanayo

    hizo ndiyo siasa wakuu!
  4. The Flycatcher

    Maswali kwa rais Kikwete na yatokanayo

    nani kamwambia kuwa mazungumzo yamekuwa mazuri? .. !
  5. The Flycatcher

    Maswali kwa rais Kikwete na yatokanayo

    sijui huyu jamaa wa newala kama anawelewa!
  6. The Flycatcher

    Maswali kwa rais Kikwete na yatokanayo

    mbona analeta story!!
  7. The Flycatcher

    Vikwazo vya Imani na Dini kuhusu kampeni ya uzazi wa Mpango

    Ili uislamu uendelee na kizazi kijacho kiwe cha kiislamu uzazi wa mpango hauna nafasi. Kuoa wake wengi ndio nguzo muhimu ya kuhakikisha kuwa kizazi kijacho kinakuwa ni cha kiislamu. Kuzaliana kwa familia za kiislamu ni zaidi ya mara tatu ya familia za kikristu. Kuoa mke mmoja kama wanavyofanya...
  8. The Flycatcher

    CHADEMA chama Mbadala kwa CCM

    Vyama vya 'upinzani' vinatakiwa viungane! viongozi wa vyama hivi waache ubinafsi! Bila kuungana kuiangusha CCM ni zaidi ya miaka 20 au zaidi ijayo!UMOJA ni nguvu. ... Halafu kwanini waita vyama vya upinzani? kwanini wasiite vyama vingine vya siasa? kama hili ni refu kwanini usitafutwe msamiati...
  9. The Flycatcher

    Wabeba mabox vs wala vumbi: Chuki ya nini??

    Chuki ya nini wakati wote ni waTZ. Tupendane tu na tusaidiane. Tuachane na ubishi usiokuwa wa maendeleo. Tuungane kupiga vita ufisadi.Tukae pamoja tuijenge Tanzania yetu.
  10. The Flycatcher

    Waziri akiri Slaa noma!

    Yaani huyu mwandosya ndio anastuka leo kuwa Slaa ni noma?aah utani huu.
  11. The Flycatcher

    Nini Hatma ya Upinzani Tanzania?

    Kuja kuwa na upinzani wa dhati tanzania hii itachukua miaka mingi sana! Chaguzi ndogo tu vyama vinanaza kugombana, do u think wanaweza kuungana na kuleta upinzani wa kweli na kuing'oa sisi M ( Mafisadi)? Ni ndoto kabisa.
  12. The Flycatcher

    Kisa cha Rais Ali Hassan Mwinyi kipigwa kibao akihutubia

    Huko ni kutafuta umaarufu usio na maana! kumchapa kofi mzee ruksa jamaani!! aah huyu aende tu keko!
  13. The Flycatcher

    ANAITWA DR. j.j! Ahh mbona hatibu watu!

    Wakuu heshima zenu! Nilishiriki kwenye mkutano fulani ambapo jamaa ambaye ana PHD kwenye engineering alitambulishwa kuwa ni Dr. J.J .. watu wakasema mbona hatumwoni akitibu wagonjwa! Ndipo professional engineer mmoja akaniambia kuwa kwenye hadhara PhD holder hastahili kutambulishwa kama daktari...
  14. The Flycatcher

    Watoto wa vigogo BoT wasafishwa

    kwani huyu beno naye siyo walewale( mafisadi)!
  15. The Flycatcher

    Mkapa above the law?: Allegations

    Mtoto wa nyoka ni nyoka!
Back
Top Bottom