Vikwazo vya Imani na Dini kuhusu kampeni ya uzazi wa Mpango

Jamani turudi kwenye swali asilia. Kama Waislamu katika nchi nyingi wanaweza kukubali njia za kupanga uzazi wakitoa sababu za maandiko na mafundisho yao - je kwa nini mashehe wa Kilimanjaro (pia wengine wa Tanzania??) wanaamini ya kwamba haiwezelani??

Now you are talking my language. May be they lack koranic knowledge or understanding the phreases in koran.
 
Inawezekana kuwa Mashehe wameliangalia hili jambo kwa wepesi, bila ya utafiti yakinifu.

Ni vema waangalie the good part of birth control na walinganishe na ubaya wa birth control. Then they can come to a conclusion ya birth control kama ni ethical au unethical kwa jamii ya Uislam.
 
Hili ndilo tatizo lenu wanyenyekevu mnapo kosa hoja katika mada. Mashehe unao wapigia debe, wapo mstari wa mbele kuongoza ufuksa na mashoga. Hivi hujuwi sababu ya kuwa na MAANTI MODI kila kona imetokana na tabia chafu ya kimasheke iliyo kuwa inafanywa misikitini mwenu?

Dini pekee hapa duniani inayo ongoza kwa kupenda ngono, ni ya Uislam, ndio maana mtume wenu Marehemu Mwamadi akawapa ruhusa ya kuoa wake WANNE, lakini bado hamjaridhika, na kuendelza biashara ya ushoga na umaumba.


Mnavisha wake wenu majoho kama maninja, lakini bado mnaongozwa na mafadhaiko wa akili na kuamua kurukia MAANTI MODI.

wanaongoza kwa Ushoga ni Wakatoliki. Wao mpaka wameruhusu kikanisa ndoa za jinsia moja. vile vile Mapadre ndio wanaongoza kuwa na vimada sababu wao hawaruhusiwi kuoa.

Fanya uchunguzi utagundua hilo.


waislamu wanaoa wanawake hadi wanne
 
Taratibu jamani, mbona mnatoka nje ya mada? Tuongelee uzazi wa mpango na sio mashehe au mapadre.
 
Dini comes out of culture. Yaani, religion is an outgrowth of culture. Naturaly, a given culture will evolves with time. But some religious doctrine insists on remaining unchanged, and hence you get conflicting interpretation of its core value.

Fundamentaly, Uislamu hautaki kuchange na wakati. Lakini nirahisi kuona kwamba maisha ya wakati wa Mohamed (wasalah lah waleih wasalam) haya wezi kufanana na maisha ya wakati huu, hata ukilazimisha. Na sio Uislamu tuu, Wakatoliki nao wanapoteza jamii. Kumbuka juzi tu hapa yule mkuu wao kwenye ziara yake Afrika alisisitiza kwamba kondom zisitumike - yaani binadamu msiingilie natural process ya muumba.

Nyinyi vizazi vya sasa nimuhimu kutambua kwamba mkiweka sana huyo mungu mbele, hamta fanikiwa. Actually, imani ya dini is very much associated with illiteracy and poverty.

God = false hope.

False hope = "naamini ya kwamba matatizo yangu hapa duniani hii hayata kuwepo nikifa, kwani nikifa nitakwenda mbinguni. Kwahiyo, sio muhimu kutumia akili yangu kuweka maisha yangu hapa duniani yawe sawa. Duniani tuna pita tuu. Kuna uzima wamilele unaningoja huko mbinguni…”
 
si vyema kutukana imani za watu mwanajamii,ustarabu hauna shule!NA USILOLIJUA LITAKUSUMBUA.
nilisikia kuwa nchi za ulaya zinaongoza kwa ushoga,tupe idaidi ya waislam huko na je ni nani wanafungisha ndoa za mashoga!
 
Hili ndilo tatizo lenu wanyenyekevu mnapo kosa hoja katika mada. Mashehe unao wapigia debe, wapo mstari wa mbele kuongoza ufuksa na mashoga. Hivi hujuwi sababu ya kuwa na MAANTI MODI kila kona imetokana na tabia chafu ya kimasheke iliyo kuwa inafanywa misikitini mwenu?

Dini pekee hapa duniani inayo ongoza kwa kupenda ngono, ni ya Uislam, ndio maana mtume wenu Marehemu Mwamadi akawapa ruhusa ya kuoa wake WANNE, lakini bado hamjaridhika, na kuendelza biashara ya ushoga na umaumba.

Mnavisha wake wenu majoho kama maninja, lakini bado mnaongozwa na mafadhaiko wa akili na kuamua kurukia MAANTI MODI.


UMEANDIKA
Dini pekee hapa duniani inayo ongoza kwa kupenda ngono, ni ya Uislam

Wakristo Wamechoshwa na wanawake sasa wanahalalisha mpaka ndoa za wanaume na kwa wanaume makanisani.
Hata MAASKOFU WANAUME WAMEANZA KUOANA WENYEWE KWA WENYEWE KANISANI TENA KWA JINA LA YESU
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=U9Y2yr1U-go[/ame]
 
Hili ndilo tatizo lenu wanyenyekevu mnapo kosa hoja katika mada. Mashehe unao wapigia debe, wapo mstari wa mbele kuongoza ufuksa na mashoga. Hivi hujuwi sababu ya kuwa na MAANTI MODI kila kona imetokana na tabia chafu ya kimasheke iliyo kuwa inafanywa misikitini mwenu?

Dini pekee hapa duniani inayo ongoza kwa kupenda ngono, ni ya Uislam, ndio maana mtume wenu Marehemu Mwamadi akawapa ruhusa ya kuoa wake WANNE, lakini bado hamjaridhika, na kuendelza biashara ya ushoga na umaumba.

Mnavisha wake wenu majoho kama maninja, lakini bado mnaongozwa na mafadhaiko wa akili na kuamua kurukia MAANTI MODI.

wapendwa tusiingize imani za kdiini kiasi hiki cha kuanza kukashifiana. kwa ujumla dini haizuii uzazi wa mpango, kinachozungumziwa hapa ni aina ya njia ya uzuiaji uzazi na matumizi mabaya ya njia hizo. kwa sasa mfano, wasichana ambao hawajaolewa, wanafunzi ndio wanaaongoza kutumia njia hizo! sasa kidini msichana/mvulana ambaye hajaoa/kuolewa hapaswa si tu kutumia njia za uzazi wa mpango bali haruhusiwi kabisa kufanya zinaa. labda tatizo hapa ni namna hao masheikh walivyo lichkulia/kulielewa jambo hilo (
 
Sahih Al-Bukhari: Volume 1, Book 5, Number 268:

Narrated Qatada:
Anas bin Malik said, "The Prophet used to visit all his wives in a round, during the day and night and they were eleven in number." I asked Anas, "Had the Prophet the strength for it?" Anas replied, "We used to say that the Prophet was given the strength of thirty (men)." And Sa'id said on the authority of Qatada that Anas had told him about nine wives only (not eleven).

Sahih Al-Bukhari: Volume 1, Book 5, Number 267:

Narrated Muhammad bin Al-Muntathir:
on the authority of his father that he had asked 'Aisha (about the Hadith of Ibn 'Umar). She said, "May Allah be Merciful to Abu 'Abdur-Rahman. I used to put scent on Allah's Apostle and he used to go round his wives, and in the morning he assumed the Ihram, and the fragrance of scent was still coming out from his body."

Sahih Al-Bukhari: Volume 1, Book 5, Number 270:

Narrated Muhammad bin Al-Muntathir:
on the authority of his father that he had asked 'Aisha about the saying of Ibn 'Umar(i.e. he did not like to be a Muhrim while the smell of scent was still coming from his body). 'Aisha said, "I scented Allah's Apostle and he went round (had sexual intercourse with) all his wives, and in the morning he was Muhrim (after taking a bath)."

Sahih Al-Bukhari: Volume 7, Book 62, Number 5:

Narrated 'Ata:
We presented ourselves along with Ibn 'Abbas at the funeral procession of Maimuna at a place called Sarif. Ibn 'Abbas said, "This is the wife of the Prophet so when you lift her bier, do not Jerk it or shake it much, but walk smoothly because the Prophet had nine wives and he used to observe the night turns with eight of them, and for one of them there was no night turn."

Sahih Al-Bukhari: Volume 7, Book 62, Number 6:

Narrated Anas:
The Prophet I used to go round (have sexual relations with) all his wives in one night, and he had nine wives.

Sahih Al-Bukhari: Volume 7, Book 62, Number 142:

Narrated Anas bin Malik:
The Prophet used to pass by (have sexual relation with) all his wives in one night, and at that time he had nine wives.

Mtume huyu ni kaaazi kweli kweli. Ana appetite ya watu 30.

Any truth in this?
 
) je unaweza kuonyesha takwimu halisi kama Waislamu wanazaa kuliko Wakristo? Sidhani takwimu hii ipo. Sikubali kama mtu anasema "Mimi najua Waislamu wenye watoto wengi...". Kwa sababu hata hapa mwingine atasema: Na mimi najua Wakristo wenye watoto wengi. Hoja kama hizi hazina thamani. Mtu akitaka kujua anaweza kulinganisha wilaya za vijijini penye Waislamu wengi na wilaya nyingine penye Waislamu wachache na kulinganisha idadi ya wakazi kufuatana na sensa mbili. Ukifanya kazi hii tunaweza kujadiliana. Watu maskini vijijini huzaa kuliko watu wa mjini; dini inaweza kuwa sababu ya ziada lakini hili ni swali la uchunguzi kamili.

2. nashangaa sana unajitangaza kama "bondservant of Jesus Christ" lakini ukiongea habari za Waislamu lugha yako mara nyingi inajaa hasira na chuki. Jibu lako kwa Ibnally mimi naona aibu kuitwa Mkristo kama wewe unajitangaza hivyo na kufyatulia matusi mengi.

AIBU kubwa
 
AIBU kubwa

Barubaru, usiwe personal, mtu anapo weka maneno fulani, wewe weka ushaidi labda kutoka Koran au vitabu vingine vya dini kumuonyesha kuwa yupo wrong. Unacho fanya wewe ni kuonyesha udhoo tu wa dini yako na kusema kuwa Max yupo sawa.

Sasa lete ushaidi wa koran tumtoe nishai Max.
 
wanaongoza kwa Ushoga ni Wakatoliki. Wao mpaka wameruhusu kikanisa ndoa za jinsia moja. vile vile Mapadre ndio wanaongoza kuwa na vimada sababu wao hawaruhusiwi kuoa.

Fanya uchunguzi utagundua hilo.


waislamu wanaoa wanawake hadi wanne


Hii issue ya Wakatolini imeingiaje hapa? Je, Wakatoliki ni Wakristo?

Waislam ni kweli wanoa wanawake wanne, je, kunasababu yakinifu inayo wafanya kuoa wake wanne, wakati Baba yetu wa Kwanza Adam alikuwa na Mke mmoja? Je, kosa lipo wapi mtu akisema kuwa waislam wanaongoza kwa ngono?
 
Ili uislamu uendelee na kizazi kijacho kiwe cha kiislamu uzazi wa mpango hauna nafasi. Kuoa wake wengi ndio nguzo muhimu ya kuhakikisha kuwa kizazi kijacho kinakuwa ni cha kiislamu. Kuzaliana kwa familia za kiislamu ni zaidi ya mara tatu ya familia za kikristu. Kuoa mke mmoja kama wanavyofanya wakristu ni uzazi wa mpango wa kutosha kabisa! Hivyo huwezi kutegemea hata siku moja kuwa mashehe waongelee chochote kuhusu uzazi wa mpango!
 
MaxShimba, nina mawili:
1) je unaweza kuonyesha takwimu halisi kama Waislamu wanazaa kuliko Wakristo? Sidhani takwimu hii ipo. Sikubali kama mtu anasema "Mimi najua Waislamu wenye watoto wengi...". Kwa sababu hata hapa mwingine atasema: Na mimi najua Wakristo wenye watoto wengi. Hoja kama hizi hazina thamani. Mtu akitaka kujua anaweza kulinganisha wilaya za vijijini penye Waislamu wengi na wilaya nyingine penye Waislamu wachache na kulinganisha idadi ya wakazi kufuatana na sensa mbili. Ukifanya kazi hii tunaweza kujadiliana. Watu maskini vijijini huzaa kuliko watu wa mjini; dini inaweza kuwa sababu ya ziada lakini hili ni swali la uchunguzi kamili.

2. nashangaa sana unajitangaza kama "bondservant of Jesus Christ" lakini ukiongea habari za Waislamu lugha yako mara nyingi inajaa hasira na chuki. Jibu lako kwa Ibnally mimi naona aibu kuitwa Mkristo kama wewe unajitangaza hivyo na kufyatulia matusi mengi.

Unaakili sana, huyo anaongozwa na matamaniyo ya nafsi yake(emmosional), wala hatuitaji ku-reat kwenye majibu yake, if you dont have data no right to speek.
 
Actually mpango wa uzazi upo kwenye uislam tena mzuri na wenye mantiki. Uislam ni dini iliyokamilika, so kama kipengele cha mpango wa uzazi kisingekuwepo then uislam ungekua wakubabaisha,

Huyo jamaa anaejiita mristo na kutukana tu bila aibu naomba nimfahamishe kuwa mafunzo ya uislam yanasema hivi, mtoto anapaswa anyonye kwa miaaka miwili , na baada ya miaka miwili , mwanamke akipata mimba mpaka kuza manake yule mwingine tayari anamiaka mitatu, kwa hiyo utaona kwamba tayari hapa kuna mpango wa uzazi, Na control yake ni kwamba kama mtu ni rijali wakupindukia ili asilete madhara kwa mama mjamzito na mtoto , basi akiwa na wake 2 au 3 au 4, utaona hapo tayari anampumzisha mkee wake kwa kua atakidhi mahitaji yake ya kibiolojia kwa wake wengine kwani si rahisi wake wote wakapata ujauzito kwa mkupuo. Kinachogomba ni kule kuwa na hofu kua usizae kwa sababu hunachakuwatunza watoto, hii ndo mashehe wana pinga, lakini si dhani kama wanapinga mpango wa uzazi.

Kinachotekea kwa sasa ni watu kuwa wanafiki kwa kusema ana mke mmoja lakini anazalisha watoto wa mitaani wengi , ambao hawana wakumtunza, actually ukiangalia utagundua watu wa kale walikua wanazaa idadi kubwa ya watu na waliweza kuwatunza but sasa tunampango wa uzazi lakini mbona kila kukicha matatizo ni yaleyale? kwa hiyo hapo tatizo si mpango wa uzazi kuna kitu kinafanyika hapo, ambacho ni watu kuza holela nje ya ndoa.
 
Someone can imagine, wake wanne, watoto kila mwaka kwa mke, hao ni watoto wanne kwa mwaka , na nane kwa miaka miwili, na 16 kwa miaka 4. lol.
 
Unaakili sana, huyo anaongozwa na matamaniyo ya nafsi yake(emmosional), wala hatuitaji ku-reat kwenye majibu yake, if you dont have data no right to speek.

Wewe umeweka data zipi zaidi ya utumbo mtupu
 
Ili uislamu uendelee na kizazi kijacho kiwe cha kiislamu uzazi wa mpango hauna nafasi. Kuoa wake wengi ndio nguzo muhimu ya kuhakikisha kuwa kizazi kijacho kinakuwa ni cha kiislamu. Kuzaliana kwa familia za kiislamu ni zaidi ya mara tatu ya familia za kikristu. Kuoa mke mmoja kama wanavyofanya wakristu ni uzazi wa mpango wa kutosha kabisa! Hivyo huwezi kutegemea hata siku moja kuwa mashehe waongelee chochote kuhusu uzazi wa mpango!

Waislam washindwa kutangaza dini sasa waamua kuzalisha kama mipanya.
 
Back
Top Bottom