MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
Jamani turudi kwenye swali asilia. Kama Waislamu katika nchi nyingi wanaweza kukubali njia za kupanga uzazi wakitoa sababu za maandiko na mafundisho yao - je kwa nini mashehe wa Kilimanjaro (pia wengine wa Tanzania??) wanaamini ya kwamba haiwezelani??
Now you are talking my language. May be they lack koranic knowledge or understanding the phreases in koran.