Mimi naona wanafanya hivi kutikana na nature ya kazi au ofisi zenyewe za kitanzania ,waanze kupambana na how can you kazi yenyewe halmashauri ya mlimba huko sijui sitimbi lakini kwa interview za vyuoni swali la how ni must na possible kwasababu part kubwa ya kazi unafanya ww kama mwalimu
Mimi pia leo nimepata kuchomoka kwenye pdf la utumishi Mungu amekuwa mwema sana baada ya miaka 7 ya kuhangaika na vibarua vya hapa na pale. Tusife moyo kwa ambao bado hatujapata tuendelee kusubiri kwa imani
Kwa mimi ninavyojua kwenye ajira portal CV huwa inakuja automatically baada ya ww kuweka info zako na tukiwa tunaomba kazi pale huwa wanasema tuweke sign letter tu huwa hakuna sehemu ya CV
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.