Recent content by The Dojin

  1. T

    JamiiForums Tanzania Maneno ya Nchimbi hayana maana yoyote ile!

    Uko sahihi ile ni MICHEZO, kitu ambacho raia wanatakiwa kujua linapokuja suala la kutafuta madaraka CCM hawana utani watakupa chambo huku ukiona ni chakula mwisho wa siku wanakuiingiza mjini. MIMI NI MWANA-CCM Nakuhakikishieni haya matamko mbona bado watakuja wengi sana kusema yale wanayoyataka...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Kwa wanunuzi wa Hisa kuweni makini na Brokers

    Habari, Kwa mtu mwenye ndoto ya kununua Hisa za makampuni mbali mbali jiepusheni na Tanzania Security Limited(TSL) Kwa sasa huyu broker ameshakuwa broke embu fikiria kama kampuni inaweza kuzima namba za huduma Kwa mteja siku nzima je Hisa zako zitakuwa salama, kama unaweza kuuza Hisa zako...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Alphonce Muyinga: Wanataka kutakatisha pesa chafu kwa kisingizio cha michango ya Tonetone, Mamlaka zichunguze

    Nchi yetu kutafuta cheo ni simple wewe kuwa chawa qualification utakufa nazo majitu kama hawa ni wakuupuzia
  4. T

    JamiiForums Tanzania Namshangaa Prof. Tibaijuka anaposema Lissu ni kete muhimu katika maridhiano inamaana haoni athari alizoleta kwa Taifa? Au ni athari za kukosa cheo?

    Tulia Mdogo wetu hujafa hujaumbika Lissu unataka anyongwe kwa vile anawazibia riziki zenu za kifisadi jifunze kutoka kwenye utawala wa magufuli na team yake kuna siku huu ujinga unaopost utatamani uufute
  5. T

    JamiiForums Tanzania Nina Milioni 3 ni bora ninunue hisa za CRDB au niende Chalinze nikanunue kiwanja?

    Nunua kiwanja achana na mambo ya HISA tatizo la Hisa nikupanda nakushuka na hiyo 3M yako haina maana yoyote gawio lako kwa mwaka halivuki 150K kulingana na hisa ilipoziwekeza
  6. T

    JamiiForums Tanzania Iran yashambulia mataifa matano ya Ghuba, yaifungia Hormuz baada ya mabomu ya Marekani

    Hawa very soon wataanza kutoa milio ngoja wawekwe mtu kati ndio wataelewa Marekani ndio baba lao
  7. T

    JamiiForums Tanzania Sex inamdhalilisha sana mwanamke

    Wewe ni jinsia gani kwanza tutaanzie hapo. Kama ni mwanamke basi wewe acha kufanya sex
  8. T

    JamiiForums Tanzania Hivi Ni Kweli Gari ya M/Mwenyekiti ni M400?!!!

    Na sisi tunaweza kuponda CHADEMA tugawaneni hizo hela za kupush handle msile wenyewe jamani
  9. T

    JamiiForums Tanzania Hivi Ni Kweli Gari ya M/Mwenyekiti ni M400?!!!

    Ifike wakati muwe mnatupa na sisi hela kupush handle ya kuponda CHADEMA na Heche
  10. T

    JamiiForums Tanzania Kwanini mission za kuiua na kuifuta CHADEMA kisiasa zinafeli na kwanini Serikali inaambulia chuki kutoka kwa Wananchi badala ya mafanikio?

    Kuifuta CHADEMA sio suluhisho wangejikita kufuta umasikini
  11. T

    JamiiForums Tanzania Upuuzi mtupu, kwani fedha za Tone Tone ni ngapi mpaka machawa wawatoe kwenye reli. CHADEMA simama imara, msitoke kwenye malengo kwa rubbish hizo

    Propaganda za kuiyumbisha CHADEMA report ya CAG inataja wezi ila CCM hawana muda nayo kwenye tonetone kuna hela gani pale kuna hata bilioni iliyopataikana kweli
  12. T

    JamiiForums Tanzania Sipo Hapa kula mtu ila muelewe. Monthly payment yangu ni 4500$ Sawa na 12M kulingana na position Yangu na experience

    Hapo mchongo ni mleta post mwenyewe ndo unataka kumgeuza
Back
Top Bottom