Uko sahihi ile ni MICHEZO, kitu ambacho raia wanatakiwa kujua linapokuja suala la kutafuta madaraka CCM hawana utani watakupa chambo huku ukiona ni chakula mwisho wa siku wanakuiingiza mjini. MIMI NI MWANA-CCM Nakuhakikishieni haya matamko mbona bado watakuja wengi sana kusema yale wanayoyataka...
Habari,
Kwa mtu mwenye ndoto ya kununua Hisa za makampuni mbali mbali jiepusheni na Tanzania Security Limited(TSL) Kwa sasa huyu broker ameshakuwa broke embu fikiria kama kampuni inaweza kuzima namba za huduma Kwa mteja siku nzima je Hisa zako zitakuwa salama, kama unaweza kuuza Hisa zako...
Tulia Mdogo wetu hujafa hujaumbika Lissu unataka anyongwe kwa vile anawazibia riziki zenu za kifisadi jifunze kutoka kwenye utawala wa magufuli na team yake kuna siku huu ujinga unaopost utatamani uufute
Nunua kiwanja achana na mambo ya HISA tatizo la Hisa nikupanda nakushuka na hiyo 3M yako haina maana yoyote gawio lako kwa mwaka halivuki 150K kulingana na hisa ilipoziwekeza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.