Huo ndo ukweeli... na mchungu kuusikia.. na kuuamini... maana nishashuhudia mara kadhaa watu wanaoachana kwa style hiyo.. wakiwa wanapendana.. na mwisho wa siku wanalianzisha kwa chini chini... mwisho utalea katoto ka jamaa.
Duuh... kweli sikuiz binadam hawaaminiki tena hata mzazi wako.. si wa kumwamini tena.. maana matukio ya baba kumla binti si la kwanza hilo.. aisee ni hatar sana
Eti wanasemaga UKIONA NYANI MJINI UJUE ANAFUGWA.. subiri aliemfuga akintelekeza atakukumbuka... cha msingi usiwe mbali... kuwa kuwa karibu... na usipoteze matumaini.. ganda kama milima kilimanjaro...
Kama huna uwezo wa kudownload hizo software.. au unatumia windows mobile... au computer... jus ingia youtube kwa kutumia browser usitumie app iliyopo kwenye simu.. then search video unayoitaka kisha ifungue ikiannza kuplay weka pozi nenda kwenye link ongeza ss kabla ya neno youtube mfano...
Me nilimtumia mtu 450000 kutoka tgo kwenda voda... ebhaana ikagoma.. nilihangaishana na tigo wiki nzima na siku kadhaa.... kuanzia cku hiyo nikaapa sitatumia njia hiyo kutuma pesa nyingi bora nimeenda bank tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.