King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,670
- 68,630
Ila cha Haiti kina Jina la kiume "MATTHEW".
Nenda kagoogle, andika history of hurricane names utajibiwa maswali yako yote likiwemo la kwa nini majina ya wanawake yatumika sana.wadau nimekaa na kutafakari sijapata jibu ni kwanini haya majanga ya kimbunga na mafuriko yanayotokea zaidi marekani tangu miaka ya 1950 hadi hivi leo yanapewa majina ya kike kama KATRINA,ALICE,NK kwa sasa kilichotokea wekend hii wamekiita IRENE. mwenye ufahamu atujuze ni kwanini?
Majina hutolewa na 'watabiri wa hali ya hewa' meteorologists. Sababu ya kutoa majina ni kuwa kwa msimu mmoja kunaweza kuwa na hurricanes au storms nyingi na hivyo itarahisisha utambuzi. Kama nipo sahihi hurricanes ni dhoruba na storms ni vimbunga. upo uwezekano wa kupanda au kushuka daraja kutoka hurricanes hadi storms. .
senti sumuni yangu
Ila cha Haiti kina Jina la kiume "MATTHEW".
mi unazidi kunipotezaMajina ya VimbungaVimbunga hutokea mara kwa mara katika kipindi cha joto. Wataalamu wameanza kuvipa majina kwa kurahisisha maelewano. Katika eneo la kila bahari kuna utaratibu wa pekee wa kutolea majina kwa vimbunga kufuatana na mapatano ya wanasayansi.
Atlantikiinaona takriban vimbunga kumi au zaidi kila mwaka. Hupewa majina kufuatana alfabeti. Imekuwa kawaida tangu 1979kutumia majina ya kiume na ya kike kwa kubadilishana (zamani vilipewa majina ya kike tu lakini wanawake walilalamika).
Wataalamu wanatumia orodha sita ya majina hivyo jina linaweza kurudia baada ya miaka sita.
Kimbunga ya "Katrina" kilichoharibu mji wa New Orleans katika Agosti 2005 kilikuwa kimbunga cha 11 cha mwaka 2005. Kilifuata kimbunga "Jose" na kufuatwa na "Lee" halafu "Maria". Kama kimbunga inasababisha uharibifu mkubwa sana jina lake huondolewa katika orodha maana yake jina hili halitarudia. "Katrina" imebadilishwa kuwa "Katia" katika orodha ya mwaka itakayotumika mwaka 2011 (ikitokea itakuwa kimbunga kinachofuata "Jose" ya 2011)
Kwa sababu zinakuja na kuondoka na kila kitu unaachwa mweupe just like women
pamojaAsante sana kwa elimu kiongozi.
Haki ya nanieee!Labda ndo jinsia yake vipo na vyakiume vinaitwa mtolela