SAMSUNG Galaxy Note 7 yalipuka yaunguza gari aina ya Jeep

SAMSUNG Galaxy Note 7 yalipuka yaunguza gari aina ya Jeep

mdhalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2011
Posts
282
Reaction score
273
Ikiwa ni siku chache baada ya kampuni ya Samsung kutangaza kurejeshwa kiwandani kwa simu zake aina ya Samsung Galaxy Note 7, ajali nyingine kubwa imetokea baada ya gari aina ya jeep kuwaka moto kutokana na kulipuka kwa galaxy note 7 iliyokuwemo kwenye gari hiyo.
Samsung inapaswa kuchukua hatua za haraka kabla haali hii haijaharibu soko la kampuni hiyo.

source video
 
bora nibakie na nokia yangu ya tochi. hizi smart phones ni shida aisee.
 
ana bahati kwamba hakuna aliyepoteza maisha
 
Walahi ingekuwa huku kwa Baba Magu sijui ningelia kilio gani
 
Inawezekana propaganda au kweli lakini naona inaweza kuwa mbaya kama blackberry zilivyozingua kikawa kifo cha blackberry
 
Gari yangu ikiungua bahat mbaya nasingizia nilikua nachaji sumsung note 7...
 
Wale wakujisifu na samsung waje sasa waseme maana kunakipindi ulikuwa hukosi watu wanaoponda wale wanaotumia either Huawei au Tecno.Kwa hili wajihadhari na majanga yabkujitakia.
 
Au hawakuzipeleka GSM Arena? Maana kuna watu humu wanaamini simu ambazo hazija chekiwa na Arena ni hatari kwa afya.
 
Back
Top Bottom