Recent content by The bush

  1. T

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    Mtoto wangu alizaliwa kabla ya muda alopaswa kuzaliwa. Madaktari walisema yupo sawa hana shida yoyote. Tulikaa hospitali kwa wiki tatu tukaruhusiwa kurudi nyumbani. Awali alikua sawa kabisa na ukuaji wake upo vizuri Sana na sio rahisi mtu kujua Kama alizaliwa njiti ukimwona sasa. Ila baada ya...
  2. T

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Mtoto wangu alizaliwa kabla ya muda alopaswa kuzaliwa. Madaktari walisema yupo sawa hana shida yoyote. Tulikaa hospitali kwa wiki tatu tukaruhusiwa kurudi nyumbani. Awali alikua sawa kabisa na ukuaji wake upo vizuri Sana na sio rahisi mtu kujua Kama alizaliwa njiti ukimwona sasa. Ila baada ya...
  3. T

    Mlio karibu na Rais Magufuli please tell him this...

    Hofu yangu BKM sasa hana amani wala furaha, anaweza kuwa anachunguzwa kuliko kawaida!!
  4. T

    Wasifu wa Bernard Kamilius Membe

    Huu uzi unamhusu nani!? Hao wamwera ulowambia walike, wanahusikaje na kinachojadiliwa hapa!!? #Acha mambo hayo
  5. T

    Wasifu wa Bernard Kamilius Membe

    Wewe unaharibu na unaleta ukakasi!! Anayetakiwa ni Membe sio kabila lake
  6. T

    Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

    Naomba maelezo kidogo kuhusu hii
  7. T

    Nauza Laptop (LENOVO)

    Alijua watu hawajui haya mambo
  8. T

    Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

    Umepata ama bado!? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. T

    Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

    [emoji3] [emoji3] Sent using Jamii Forums mobile app
  10. T

    Marekani wadai Uchaguzi Mdogo wa Agosti 12, 2018, uligubikwa na matukio ya fujo na ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi

    Nikumbushe nchi moja tu ambayo Marekani iliwasaidia kupata demokrasia ya kweli,,,kisha tathmini kama unawahitaji au la!! Usijisahau sana!!!
  11. T

    Vyeti vinawekwa Bond kwa mkopo wa milioni nne

    Wakuu Ninahitaji milioni nne pekee kuendeleza biashara zangu. Nipo tayari kuweka dhamana ya vyeti vyangu vyote kuanzia kidato cha nne hadi chuo kikuu. Mwezi December nitarejesha mkopo hata ikiwa kwa riba na kurejesha vyeti vyangu (hili halina shaka) Kwa anayeweza kunisaidia kwa hili tafadhali...
Back
Top Bottom