Nauza Laptop (LENOVO)

Nauza Laptop (LENOVO)

Yah,zikishakua battery low,znakupa warning ukiipuuzia znazma ghafla.
Uongo huu. Mimi nimekaa na Lenovo huu mwaka wa saba na inatumika daily haijawahi kusumbua. Actually, ndo naitumia kuandikia hii msg. Kimsingi Lenovo ni imara sana.
 
Anayehitaji hiyo mashine aje PM
Hakuna mwenye roho ngumu hivyo boss, yani uoneshwe jinsi gani ulivyo muongo na tapeli bado mtu akufate pm hahaaa, umeombwa picha ya kitu unachouza umeweka ambayo sio, huko pm ukiombwa si ndio utamtukia picha ya jike la mbuzi...maaana inshort kama umeweka picha ambayo sio yenyewe ina maana huna! Karibu mkuu kwenye anga la utapeli
 
Hakuna mwenye roho ngumu hivyo boss, yani uoneshwe jinsi gani ulivyo muongo na tapeli bado mtu akufate pm hahaaa, umeombwa picha ya kitu unachouza umeweka ambayo sio, huko pm ukiombwa si ndio utamtukia picha ya jike la mbuzi...maaana inshort kama umeweka picha ambayo sio yenyewe ina maana huna! Karibu mkuu kwenye anga la utapeli
Fikra zako mbovu hazitakufikisha popote mkuu. Nimeweka namba ya simu hapo ili anayehitaji tuwasiliane. Wanaojua wameshanitafuta
 
Uongo huu. Mimi nimekaa na Lenovo huu mwaka wa saba na inatumika daily haijawahi kusumbua. Actually, ndo naitumia kuandikia hii msg. Kimsingi Lenovo ni imara sana.
Hawajui wanachokiongea mkuu. Achana nao
 
Hakuna mwenye roho ngumu hivyo boss, yani uoneshwe jinsi gani ulivyo muongo na tapeli bado mtu akufate pm hahaaa, umeombwa picha ya kitu unachouza umeweka ambayo sio, huko pm ukiombwa si ndio utamtukia picha ya jike la mbuzi...maaana inshort kama umeweka picha ambayo sio yenyewe ina maana huna! Karibu mkuu kwenye anga la utapeli
 
na ambayo haizimi ghafla huwa inafanyaje, inakuimbia kwanza wimbo wa CCM wa utaisoma namba?

ushasema inakupa warning, halafu unasema imezima ghafla, hivi tatizo ni nini, kuna vichwa vingine DNA helix inazunguka anti-clockwise?
Pathetic..?
 
Back
Top Bottom