Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Kwahiyo malipo ni papuchi??? Hii inaonyesha ni kiasi gani wanaume tunaonekana dhaifu

Kweli kisa papuchi ya siku moja ikufanye utelekeze damu yako??

Ukisikia mwanaume/familia inataka mwanamke wa kuwazalia mtoto ili awe wao lazima litangazwe dau kubwa na bado inaweza kuwa ngumu kumpata

Lakini kwa malipo haya ya papuchi unaweza kuta Inbox ya Miss nimechoka imeshajaa masela wanasubiri interview
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

awe mrefu rangi yoyote
asiwe mwembamba sana
umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
Mkuu unauhakika mayai yako vizuri!?usije ukageuzwa mke mimba kunasa hainasi!!
 
Kwahiyo malipo ni papuchi??? Hii inaonyesha ni kiasi gani wanaume tunaonekana dhaifu

Kweli kisa papuchi ya siku moja ikufanye utelekeze damu yako??

Ukisikia mwanaume/familia inataka mwanamke wa kuwazalia mtoto ili awe wao lazima litangazwe dau kubwa na bado inaweza kuwa ngumu kumpata

Lakini kwa malipo haya ya papuchi unaweza kuta Inbox ya Miss nimechoka imeshajaa masela wanasubiri interview


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

awe mrefu rangi yoyote
asiwe mwembamba sana
umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
Njoo pm
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

awe mrefu rangi yoyote
asiwe mwembamba sana
umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
Aya njoo gheto basi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom