James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,112
- 13,342
Maoni yangu ni kuwa hatujui yajayo usiwe mwepesi wa kusema hatokuja rais mbaya ka magu kesho hatuijui na viongozi ni binadamu. Iam in neither side. Huwa simwamini mtu hata kwa 75%kama hajamiliza jambo badoMkuu JPm ni slow learner and rigid kwa miaka mitatu angekua ameshajifuza na kubadilika kwa mtu mwenye upeo......Ila paka sasa hivi anaimba wimbo ule ule....elimu imemshinda, afya ni majanga foreign and local investors ni madui kwake Democracy na utawala wa sheria bado, mpaka sasa hajajifunza wananchi wanachohitaji,..... sio national praid ya miundombinu, ila maisha bora na uhuru