Recent content by The Black

  1. The Black

    JamiiForums Tanzania Niulize swali lolote kuhusiana na Wilaya ya Tarime

    Ahsanteee mkuu!! Au ungefanya tu kaustarabuu Sent using Jamii Forums mobile app
  2. The Black

    JamiiForums Tanzania Niulize swali lolote kuhusiana na Wilaya ya Tarime

    Natamani kuoa mwanamke wa kikurya utanisaidiaje kwa hilo Sent using Jamii Forums mobile app
  3. The Black

    JamiiForums Tanzania Wanaume tujifunze kupiga deki

    Nitapiga deki kwa mwanamke wangu mmoja tu atakayekuwa mke wangu kwa ajili tu ya kudumisha mapenz lakin siyo kwa Malaya wengine Sent using Jamii Forums mobile app
  4. The Black

    JamiiForums Tanzania Niulize swali lolote kuhusiana na Wilaya ya Tarime

    Ile chemchem ya ronsoti bado inatoa maji?? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. The Black

    JamiiForums Tanzania Corona: Ni wajibu wa Serikali kutupa majibu sahihi

    Tanzania ni nchi huru Sent using Jamii Forums mobile app
  6. The Black

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Visa vya Corona vyaongezeka hadi 557, visa vipya 35 vyatangazwa

    Wambien wapime na HIV! Corona ni ugonjwa tu Kama magonjwa mengine! Acha maisha yaendeleee Sent using Jamii Forums mobile app
  7. The Black

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke

    Tunakujaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  8. The Black

    JamiiForums Tanzania Ubalozi wa Marekani wasisitiza maambukizi ya Corona jijini Dar yameshika kasi. Wadai Hospitali zimeelemewa!

    Corona ipo ni kama ugonjwa mwingine tu chukuen tahadhari mbona ukimwi maralia watu wanakufa na mnajikinga vile vile na maisha yanasonga.Jikinge mwenyewe chukua tahadhari Sent using Jamii Forums mobile app
  9. The Black

    JamiiForums Tanzania Ubalozi wa Marekani wasisitiza maambukizi ya Corona jijini Dar yameshika kasi. Wadai Hospitali zimeelemewa!

    Wale wenye data tofauti na za serikali weeken hapa hizo data! Siyo maneno ya mtaani jaman Sent using Jamii Forums mobile app
  10. The Black

    JamiiForums Tanzania Ubalozi wa Marekani wasisitiza maambukizi ya Corona jijini Dar yameshika kasi. Wadai Hospitali zimeelemewa!

    Ni lazima maisha yaendelee corona ni Kama maralia tuu kwa Tanzania! Ebu toeni data za watu wanaokufa kwa maralia kwa siku mfananishe na watu wanakufa kwa corona!! Hapo ndo utagundua maisha inabidi yaendelee Sent using Jamii Forums mobile app
  11. The Black

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Mmh watu hamlali?? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. The Black

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Kuwa single nalo tatzo duuh!! Sent using Jamii Forums mobile app
  13. The Black

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Hellow Sent using Jamii Forums mobile app
  14. The Black

    JamiiForums Tanzania Updates za bei ya ufuta msimu wa 2020

    Kuna maeneo fulani Songea wakulima wameuza kwa Bei ya 2182 kwa kilo Sent using Jamii Forums mobile app
  15. The Black

    JamiiForums Tanzania Mwili uliokufa kuweza kurudishiwa uhai ndani ya maabara kubwa

    nimepita huko mzee mpaka naogopa kulala duh
Back
Top Bottom